Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

ANAWAPENDA WENZAKE, HIVYO NI SEHEMU YA KUWAJUZA KAMA AMEPITISHAPO MTALIMBO WAKE NA YEYE KAUGUA ILI WASIINIZEMO NA WAO WAKAPATWA.

Pole sana kwa hali hiyo inayokukuta KAPIME KWANZA. Ukikutwa u negativu basi huyo ni mjinga (Ni sawa na alaye chakula na kuanza tangaza kila kona).
 
Tatizo anti yangu unadate na vicheki bob, tafuta watu wenye umri wa kati na kupanda juu;
............ eti ni kwa wanaume tu, am sorry............
 
Hakuna cha bango wala nini;
Sana sana utakuja na uzi ........... she was so hot au wanasemaga ilikuwa na joto la kutosha ...............
miss chagga , unataka kuniambia wanawake hamfanyi hivyo? Naapa kudate na Madada wa humu kesho utakuta bango lenye maudhui ya Faragha yenu, mmh sijui anyw way baada ya hii madada nanyi mtujibu MankaM Mamndenyi.
 
dah Mr Rocky your points rock dude keep it up you have such an adorable attitude!!!!
Siwezi najua issue ya love making is private na tulifanya kwenye private place bila mtu mwingine kuhusika
Ya nini ukamtangaze kijiweni kuwa nimetembea na yule na yule au yule dada usimuone hivi anaringa hana lolote yuko hivi na hivi inasaidia nini sasa
Sana sana unajidhalilisha na kumdhalilisha mhusika
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kweli, we are dating na yanapita kimya kimya;
hata tukikutana hatupeani like wala nini, tatizo ni hao watoto ambao sijui hata anti yangu anakowapata.
Mamndenyi umesema kweli.kwamba hapa inategemea unadate na nani..kama.wavulana tegemea hayo ila wanaume hapana tunaheshimu privacy na kuielewa.
 
Tatizo anti yangu unadate na vicheki bob, tafuta watu wenye umri wa kati na kupanda juu;
............ eti ni kwa wanaume tu, am sorry............

anti jamani wewe si uliniambia nikiingizwa madude ya watu wakubwa nitakuwa mzee ? anti kumbe unanidanganya unafaidi mwenyewe nimekujua leo
 
Back
Top Bottom