Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,588
point yako ww umesema huwezi kutangaza unaona kama ni upuuzi.
Lakn wakat huo umesahau kuwa umetuambia umbedate na wanawake wawili tofauti. Sasa hapo unatofauti gani na anayetangaza?
Kwan kulikuwa na ulazma gani wa kuesema wanawake uliogegeda?
Do ur home work hapa tupo kwenye forum tunajiachia, kuna wengine ni walokole na waimba kwaya kanisani lakini MMU wanajiachia kwa raha zao.
Kama bado hujaelewa kwa nini nimeyasema hayo kutoa ushuhuda wa madhara xma kuropoka basi wewe una zaidi ya tatizo katika mfumo wako wa uelewa.
Hivi unadhani rafiki kipenzi akijuwa mwanamke flani uliwahi kudate unadhani yeye atakuwa na mzuka naye? Kama hujanielewa thats is ur problems not mine.