Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

miss chagga umewahi kutana na vivulana vya hivi mae??? yani oooh sijui miss chagga anahesabu misumari ya bati hana lolote, mi sipendiiiii tena akitokea wa hivyo apite hiviii
 
Last edited by a moderator:
anti jamani wewe si uliniambia nikiingizwa madude ya watu wakubwa nitakuwa mzee ? anti kumbe unanidanganya unafaidi mwenyewe nimekujua leo

hahahaaaa!, hujamwelewa bhana amesema tafuta wenye umri wa kati na wa juu kidogo. Tatizo lako unapenda vile vya show room vinyoa viduku.
Ushauri ukitolewa na Mamndenyi ufanyie kazi huyu bibie ni kifaa kweli
 
Last edited by a moderator:
miss chagga kuna kitu umesahau madada pia mna makosa huwa mnawapa papuchi wale ambao saa nyingine hata kwa kuangalia tu unajua jamaa mapepe au korofi korofi sisi ambao mnatujua tumetulia mpaka mtupe jasho limetutoka nyie mkiiona mtu sio gentleman hakuna kupewa
 
Heshima ya mwanamke ipo kwenye K.. Yake na ndicho kitu pekee mwanamke anachojivunia(silaha pekee) ndio maana ukishapiga unajisikia fahari.... ila kisimulia kijiweni sijwahi na sina hiyo tabia. halafu wanaume tukumbuke kuwa usiri unawavutia wanawake.
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa

Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.

miss chagga kwa kweli inategemea...kuna demu anaweza akakupa gemu ukitoka hapo unaongea njia nzima mwenyewe kama kichaa...na usiku unaweza ukaota atii. Kuna wadada wanat*mbana jamani. Wacheni kabisa. Kuna mmoja mimi na namba yake nilidelete kabisa. Nilijikuta asubui badala ya kwenda kazini naenda kwake..kidogo nifukuzwe kazi. sasa mdada kama huyo huwezi wacha kushare experience yake. Hah wacheni aisee...
 
Last edited by a moderator:
miss chagga umewahi kutana na vivulana vya hivi mae??? yani oooh sijui miss chagga anahesabu misumari ya bati hana lolote, mi sipendiiiii tena akitokea wa hivyo apite hiviii

hivyo nilikutana navyo nikamambia huna hela chakujizungusha kama antena nani anataka mtu mweyewe unachovya chovya tu
 
miss chagga kwa kweli inategemea...kuna demu anaweza akakupa gemu ukitoka hapo unaongea njia nzima mwenyewe kama kichaa...na usiku unaweza ukaota atii. Kuna wadada wanat*mbana jamani. Wacheni kabisa. Kuna mmoja mimi na namba yake nilidelete kabisa. Nilijikuta asubui badala ya kwenda kazini naenda kwake..kidogo nifukuzwe kazi. sasa mdada kama huyo huwezi wacha kushare experience yake. Hah wacheni aisee...
benteke loh kitu kinaamka chenyewe naomba uniambie alikuwa anafanyaje?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom