Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,621
HahahahahBaharia katika ubora wake
HahahahahBaharia katika ubora wake
Naunga mkono hoja.Havina formula ni naturally gifted ndoa kudumu
Trust me...imeniuma sana hiiNadhani ni kweli na ina'apply pande zote mbili...
Kwanini uwe mtu wa tafrani na visirani home wakati ushapunguza stress kidogo sehemu?
Akiwa bize na nyumba ndogo na we unapooza kidogo mara moja moja akirudi home amani inatawala
Kelele za nini na we una yako.?
Kikubwa kuheshimiana na kupendana ndani
Talking from experience ..Salute kwako..sio kila mtu atakuelewa.Usipokuwa na mchepuko uwezekano wa ndoa ya kibongo kuvunjika instantly ni 98%!!!
Michepuko ni Kusheni za madhaifu ya wake zetu.
Me tooTrust me...imeniuma sana hii
Tena hawa 19-22 wapo poa sana si wasumbufu kivile na nina mpango wa kuongeza wa tatu! ni mwendo wa soda na chips tu alafu hautumii nguvu kuwakojoza!Usipokuwa na mchepuko uwezekano wa ndoa ya kibongo kuvunjika instantly ni 98%!!!
Michepuko ni Kusheni za madhaifu ya wake zetu.
Nadhani ni kweli na ina'apply pande zote mbili...
Kwanini uwe mtu wa tafrani na visirani home wakati ushapunguza stress kidogo sehemu?
Akiwa bize na nyumba ndogo na we unapooza kidogo mara moja moja akirudi home amani inatawala
Kelele za nini na we una yako.?
Kikubwa kuheshimiana na kupendana ndani

dah!! Ndoa za siku hizi sa bora uwe na watoto tu kisha ukitaka unavuta tu exotic.Wanaume ndo wanayaanzisha mkuudah!! Ndoa za siku hizi sa bora uwe na watoto tu kisha ukitaka unavuta tu exotic.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nawe ukimbania naye atafute wakumtoa stress? Mbona wapo wengi uwezo unapungua wake zao huwavumilia? Acheni uzinzi!Hujawahi baniwa wewe na CCM juu kila siku mpaka mishipa inauma kishenzi
Kama hivyo ndivyo basi ndoa haina maana siku hizi , ni mtazamo wangu tu , japo sijaoa bado
Wanaume hujiona wao wapo sawa sasa ukute mke naye kapinda ndiyo hapo kuanza kutafuta visuUkisikia ukweli mchungu ndo huu, inaumiza hii omba Mungu usijue km mwenzako ana mchepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huanzisha wenyewe, mwishowe mke huchoka, kinachochekesha mme hujimwambafaiWanaume ndo wanayaanzisha mkuu
Inafika point huoni thamani ya kuwa mwaminifu 100% kwake...kimya kimya tu
Katika ubora wako nakuona.Ukisikia ukweli mchungu ndo huu, inaumiza hii omba Mungu usijue km mwenzako ana mchepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajui hilo unazani mchepuko haujielewi mtu arudi kulala kwa mkewe yeye alale mwenyewe kakwambia nani, mtu akiwa na mchepuko ajue kabisa mchepuko ajue kabisa nao unamchepuko mwingine mbadalaNinapinga hill michepuko hawafanyi ndoa yako kudumu Bali huaribu ndoa, kumbuka huyo unayemuita mchepuko naye hapendi kukaa kwenye hiyo status ya mchepuko hivyo atafight spate ndoa na kuipata hiyo ndoa ni lazima ampindue aliyepo ndani sasa hapo ni ndoa gani inaimarika? Mwanamke mmoja anakusumbua hao wawili utawezaje ndo pale unajifariji unamchepuko naye Hugo mchepuko wako anamchepuko wa kumliwaza unajiona kidume kumbe naye ana kidume wake was kumkuna. Cha msingi sio kukimbia matatizo Bali kuyasuluhisha ndo mambo yanaenda