Binadamu are complex
ndo mana kila siku tunasomana
Section ya hisia mbona hujataja...vipi je muda na mimi?.
unajua love languages?.kila binadamu ana namna inayomfanya ajiskie anapendwa zaidi...rejea kitabu cha five love languages kupata maarifa zaidi
Na kuna Ile mtu ukishapata kitu fulani unaanza kuwa na mahitaji mapya mengine mfano ukishapata food clothing and shelter mahitaji yako yanakua tena si hayo bali kuwa na familia/mapenzi na kuwa mtu bora zaidi kadri inavyowezekana/self actualization...hapa rejea Maslows' hierachy of human needs
mfano mwanamke mwenye pesa..pesa sio hitaji lake hivyo labda ujikite kwenye mapenzi na mengineyo mf kujiendeleza kielimu,kuendeleza watoto na familia kwa ujumla
Kikubwa tupende kuyatizama mambo kwa marefu na mapana
na hata kwa wanaume pia