Kwa wanaume tu walio oa

Kwa wanaume tu walio oa

Nakuunga mkono sana kama kuna mambo au vitu havieleweki ni mapenzi ya aina yoyote iwe ya ndoa au michepuko hayana kanuni maalum ya kufuata bali akili yako kumkichwa unaweza kufanya kitu au jambo ambalo mwenzako au rafiki yako kafanya kwa mpenz wake nawe ukalifanya na ykaambulia matatizo kama si maumivu hata kiachana milele
Havina formula ni naturally gifted ndoa kudumu
 
sabuwanka,

Kwa hiyo hata mke inabidi awe na mchepuko ili kuweka mambo sawa??

Nijuavyo mimi kwa umri mdogo na uzoefu mdogo nilionao, mchepuko sio suluhisho la matatizo yako ya ndoa na badala yake wakati mwingine hugeuka kuwa sehemu ya tatizo lenyewe la ndoa.
 
Kwa hiyo hata mke inabidi awe na mchepuko ili kuweka mambo sawa??

Nijuavyo mimi kwa umri mdogo na uzoefu mdogo nilionao, mchepuko sio suluhisho la matatizo yako ya ndoa na badala yake wakati mwingine hugeuka kuwa sehemu ya tatizo lenyewe la ndoa.
Asante
 
Nadhani ni kweli na ina'apply pande zote mbili...
Kwanini uwe mtu wa tafrani na visirani home wakati ushapunguza stress kidogo sehemu?
Akiwa bize na nyumba ndogo na we unapooza kidogo mara moja moja akirudi home amani inatawala
Kelele za nini na we una yako.?
Kikubwa kuheshimiana na kupendana ndani
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
 
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
Kama mwenza anaridhia utulivu ni sawa
Ila kama ni certified msaliti u need to find ways to stay happy and married as well
 
Tena hawa 19-22 wapo poa sana si wasumbufu kivile na nina mpango wa kuongeza wa tatu! ni mwendo wa soda na chips tu alafu hautumii nguvu kuwakojoza!
Ningirudi home tunaendelea na stress na u- buys wa familia, mapenzi ni kama yalishakwisha mke yupo buys na watoto na smartphone.
Hili neno buys limekuwa likinichanganya mpaka nilipoona watoto na smartphone ndo nikaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakataa, sio sawa!! Wanandoa wana wajibu wa kusort out tofauti zao na kutengeneza amani kwenye familia yao. Kutoka nje ya ndoa my dear wala sio suluhu ya matatizo yenu sanasana mtajikuta mnazua matatizo makubwa.
Mchango mulua
 
Hawa watu ni muhimu sana kiasi kuwaita NYUMBA NDOGO au MCHEPUKO ni unyanyasaji wa jinsia, matumizi mabaya ya Lugha na ukosefu wa kuthamini utu wa mtu. Hawa ni NYUMBA YA MATUMAINI!
 
Back
Top Bottom