Kwa Wanaume tu. Tiririkaa

Kwa Wanaume tu. Tiririkaa

ha ha ha, hivi huwa unavuta nini??

Na mie nina mpango wa kwenda kumzikisha kijana mmoja sehemu yake bila wimbo wa taifa.
Napumulia mashine kama Baba wa Taifa....

Amin amin nakuambia kabla jogoo hajawika utakikana kikojoleo chako mara tatu!!

watu wote waseme Amina
 
Hapa ngoja nikae pembeni maana hii nchi sijawai kukaa kabisa! Bado bikira!
 
Well well....

Nadhani unajua kuwa PM inbox yangu iko wazi kwa ajili yako..

Hebu do the needful niamini mwitikio wako........

Chonde chonde....... washakunaku wasijue, watachonga sana juu yetu...........Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!:A S-rap:

mweeeeeeeeeeeeh mwanaume ana balaa huyu............. subiri niwaandalie tindikali... halafu Kongosho umenionea cacico? toka ahamie kule kwenye siasa na habari mchanganyiko kaadimika kweli pande hizi...au anataka kugombea ubunge?

he he he, siku hizi ndio nimekuwa mshakunaku??

BADILI TABIA na cacico, njoweni muone.
 
Last edited by a moderator:
mweeeeeeeeeeeeh mwanaume ana balaa huyu............. Subiri niwaandalie tindikali... Halafu kongosho umenionea cacico? Toka ahamie kule kwenye siasa na habari mchanganyiko kaadimika kweli pande hizi...au anataka kugombea ubunge?
uwiiiiiiiii siwezi kuasi asili yangu! Kule nakwenda kuangalia wa uwezekano wa kuleta mapinduzi nchini, maana kuna mtu nikimuota moyo wangu unaota mafindofindo, na mnajua maana ndiye mkuu wa ka.........! Ananiboaaaaaaaaa na mambo yake! Wazima nyie lakini?
 
Wameambiwa wa jibu wanaume tu lakini jinsia ipinzani ndo wamejibu wengi kuliko wahusika,Wabonngo bana kweli sheria zimewekwa ili zivunjwe *SMH*Mx
 
Well well....

Nadhani unajua kuwa PM inbox yangu iko wazi kwa ajili yako..

Hebu do the needful niamini mwitikio wako........

Chonde chonde....... washakunaku wasijue, watachonga sana juu yetu...........Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!:A S-rap:[/QUOTE


kwikiwiiiiii kwiiiiii... tayari nshafanya mambo wala hawawezi kujua lol .. Na wewe usimwambie my wife wako basi.
 
Mkuu Nyani Ngabu nakupa like!Kuna sehemu unaweza kuta tope mpaka likauke weee!Pia naongezea mwanamke anasauti tatu jamani!Wengi sauti moja hawapendi kuitumia kabisa ktk mambozii.....!Mimi binafsi napenda aliee sio kwauchungu no rahaa!Sasa wengine anakuangalia tuu kama anakutishia umalize haraka!

It seems nimejifunza kitu, nilidhani ndivyo alivyo kumbe kuna sauti hadi ya 3...!!?
 
kwa my experience mwanamke mwenye sura mbaya na umbo baya ni mtamu kuliko mwanamke mzuri. Sitaki maswali zaidi ila kama unabisha fanya experiment
si unajua wengi wanakuwa hawatumika sana....kitu utafikiri kisu alani
 
Hivi hili jukwaa verified members mbona huwa hawachangii mada tamtam kama hii....
 
Back
Top Bottom