Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Hivi hili jukwaa verified members mbona huwa hawachangii mada tamtam kama hii....
hahah wanaogopa wasijekutana na mkwewe au dada yake
Hivi hili jukwaa verified members mbona huwa hawachangii mada tamtam kama hii....
Naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.
hahahahah nyama nyingine bila tangawizi hailainiki....mtamaliza bucha nyama ni ile ile
Hebu rudia tena, mwandiko wako umenitatiza kiduchu.....kwikiwiiiiii kwiiiiii... tayari nshafanya mambo wala hawawezi kujua lol .. Na wewe usimwambie my wife wako basi.
Hebu rudia tena, mwandiko wako umenitatiza kiduchu.....
Ulisema??
Nipe maji ninywe Ewe mwanamke Msamaria....:hail:kumbe wewe ndio mshakunaku
umeugunduaje mwandiko??
Ila hata mie kanitia wapiwasi
Nipe maji ninywe Ewe mwanamke Msamaria....:hail:
Naomba kuuliza hivi ni
kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni
tu.
Naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.
Hivi hili jukwaa verified members mbona huwa hawachangii mada tamtam kama hii....
Raha ya Ubwabwa Matandu,
Utamu wa Mwanamke Chachandu.
(Nanukuu tu)
kwa nin kwa pm wapost liveWanachangina kwa PM Mkuu. Na wanatoa comments very serious kuhusu mawazo yao ya four letter words kama vile l..v, h..t, f..k , etc. Upo?
sasa si wanajifanya mashujaa kwa ku-expose ID za kweli wanaogopa nini sasahahah wanaogopa wasijekutana na mkwewe au dada yake
Mwanamke angekua mtam puchu ingekua ya hovyo!