orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,676
- 4,246
Hapana umekosa!Kipimo ni wanaume wenzio waliokuzidi umri,ujuzi,uzoefu na mengineyo
Hapana umekosa!Kipimo ni wanaume wenzio waliokuzidi umri,ujuzi,uzoefu na mengineyo
Haya umeshinda case closed 🥂Hapana umekosa!
Usiku mwemaHaya umeshinda.case closed 🥂
Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.
Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa
Nguvu za kiume now days ni big deal wakuu, kama huna nguvu za kiume huna budi kuwa nazo ikiwa tu utataka kumfaidi mwanamke kunako 6 kwa 6,
Mambo yote hutegemea na mwanamke uliyenaye unampenda kiasi gani au anakuvutia kiasi gani.Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.
Naungana nawewe kwenye CHAPUTA!Mkuu mengi hapo ni story za vijiweni..
Mfano, umesema moja ya dalili za kua una upungufu nguvu za kiume ni kua na kibamia, huo ni uongo mkuu uume mdogo hauhusiani na ns izo mambo labda point yako ungeiweka kua kukosa kujiamini.
Kingine umeipiga vita chaputa bila uthibitisho wowote wa kisanyansi, ni kosa kubwa sana hilo ndgu yangu. Punyeto itakuathiri ukiwa mraibu wa iyo kitu, piga kwa kiasi.
Kingine cha muhimu zaidii ulichosahau kwenye uzi wako, ni kumuandaa vyema manzi utaweza piga izo dk 20 zako ukaishia kumchubua mtoto wa watu. We unasukumiza tu bila ujuzi aisee utasanda kijana. Muandae mwenza vizur hata cha kwanza kikiwah atakua nae keshapiga kimoja tayar, then unafidia mbeleni, ukipanda kama punda tu utakimbiwa.
Waafrika ngono tumeipa sana umuhimu
Ma experts karibu kila mtu..
All in ushirikiano ndo unaleta kuridhishana hii point nimeichukua.unakutana na mwanamke amelala tu kama maiti utakuta mwamba anajituma kinyama ad jasho linamtoka dema kalala tu chaliii kimya hata mwili hauchezesh.hapo tutegemee mechi iishe ndani ya dakika sabaKuna mda nikiwa sijafanya mapenzi km week 2 hivi, Ninaweza kuunganisha,Bao likija nachomoa nafuta na taulo na endelea ila nikifanya hivi,bao la 2 halitoki ng’oo na mapenzi yanaishia kwenye bao moja maana la pili nitakaa hadi saa zima na bado sioni dalili.Tunapumzika tunaanza tena mpk tunaghaili.
Hivi unajua umeandika kwa uzito wa kiwango cha juu mno aiseh.
Si ninasikiaga nyie mkisema mara ohooo sijui wa motro mara wa baridi..mnakuwa mnatuchanganya mjue😝😝
Au watakuwa na kiwanda cha kutengeneza ubarid huko ndani...au wewe unaonajeHahahaha ni ukweli MTUPU sijui nini inasababisha hilo sijui ni blood type, vyakula etc. Kuna haja ya hili kulifanyia utafiti inakuwaje nyingine ni moto na nyingine ni bardiiiiiiii 😜😜😜
Elimu pori hizi. hakuna muda maalum wa mtu kumwaga. itategemea wote wawili mpoje. mnaweza wote kuwa kama ndege tu na mkaridhika. mnagusana tu pyaaaaaaaaaaap, bye bye!Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.
Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa
EheeeeMimi nilishasema shoo ya maana nitapiga kwa mke wangu tu . hawa wengine sina hata muda wa kumuandaa ,nikimuonea sana huruma nitampa denda tu baada ya hapo napiga tako zangu nne nakojoa natembea.
😅😅😅😅 Nimecheka mno lakini fanya ufanyavo try to avoid this mkuu. Stress na kushindwa kula, ridhika na upatacho wala usihofu kazi yako.Mtahangaika mno! Dawa ya nguvu za kiume ni kua na pesa tu! Huwezi piga bao mbili au tatu za maana kwa mwanamke,kama una stress za maisha ya hapa na pale! Tusidanganyane!
Afu ety unakuta naye analalamikia kuwa halizishwi dah.. uanaume kazi miaka hiiiWadada wa sasa changamoto ni mashimo makubwa sana. Hata Kama vibamia vipo Ila mabwawa makubwa aisee.unakutana na kadada 19yrs ila shimo sasa ni hatari