Kwa wanaume tu: Kwenda la pili huwa unachukua sekunde au dakika ngapi?

Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.

Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa

Nguvu za kiume now days ni big deal wakuu, kama huna nguvu za kiume huna budi kuwa nazo ikiwa tu utataka kumfaidi mwanamke kunako 6 kwa 6,

Ufanyaji wa sex mara kwa mara aidha na wanawake wengi au wachache mmoja hufanya uume uzoee zoezi hilo hivyo uhimilivu wa msisimko wa na kutoupata msisimko kwa haraka au uwezo wa kuuvutia kasi au kuusubirisha utamu wa kukojoa unaengezeka, uvumilivu wa kutaka sifa badala ya kujipa raha wewe inawezekana kwa wazee wa kuchaka papuchi mara kwa mara, unapokuwa na kipolo cha ugwadu na kutokuwa na uhakika wa sex unapokutana na K, K inakuwa na nguvu kubwa ya ushawishi wa lazima kukojoa, na hupaswi kujisikia vibaya maana wanawake wazoefu wanajua haya.

Piga shoo demuz ambao unamvuto nao hisia ndio mpango mzima ukiambatana na ushirikiano wa demu uhuru wa kula denda, kuchezea chuchu, kuchokozwa dudu baada ya kila round, mwanamke na mwanaume kuoga kila baada ya tendo, sex isiyo na uharaka yenye shibe toshelevu bao 7-10 kwa mashaa 24 ni kawaida sana.
 
Mimi nilishasema shoo ya maana nitapiga kwa mke wangu tu . hawa wengine sina hata muda wa kumuandaa ,nikimuonea sana huruma nitampa denda tu baada ya hapo napiga tako zangu nne nakojoa natembea.
 
Mkuu mengi hapo ni story za vijiweni..
Mfano, umesema moja ya dalili za kua una upungufu nguvu za kiume ni kua na kibamia, huo ni uongo mkuu uume mdogo hauhusiani na ns izo mambo labda point yako ungeiweka kua kukosa kujiamini.

Kingine umeipiga vita chaputa bila uthibitisho wowote wa kisanyansi, ni kosa kubwa sana hilo ndgu yangu. Punyeto itakuathiri ukiwa mraibu wa iyo kitu, piga kwa kiasi.

Kingine cha muhimu zaidii ulichosahau kwenye uzi wako, ni kumuandaa vyema manzi utaweza piga izo dk 20 zako ukaishia kumchubua mtoto wa watu. We unasukumiza tu bila ujuzi aisee utasanda kijana. Muandae mwenza vizur hata cha kwanza kikiwah atakua nae keshapiga kimoja tayar, then unafidia mbeleni, ukipanda kama punda tu utakimbiwa.
Naungana nawewe kwenye CHAPUTA!
Nilikuwa mwenyekiti wa Chaputa nikiwa O level-, nimekuwa katibu wa CHAPUTA nikiwa Advance, nimekuwa mjumbe wa baraza kuu la wawakilishi CHAPUTA vyuo vikuu, na nimekuwa kiongozi wa CHAPUTA ngazi mbalimbali baada ya hapo, ni hivi majuzi tu operasheni fulani huko nje ya mipaka yetu nilikaimu uongozi wa chaputa kwa miezi9!
Baada ya kurudi nchini 6*6 nafanya vyema tu, so kimsingi Chaputa hoyeeee
 
Hata Wazungu wanapenda ngono. Si unaziona porn movies na porn sites zilivyo maarufu kule kwao hata huku kwetu? Hata wanaocheza zile movies wamekuwa mastaa wakubwa sana na wanavuta pesa ndefu sana. Siku hizi hasa ME wanaitwa na KE wasiojihusisha na porn movies kwa malipo mazuri tu katika majiji mbali mbali wakawape utamu wengine wanajirekodi na kuweka mtandaoni na wengine hakuna kujirekodi na wako ambao wako ndani ya ndoa pia.

Waafrika ngono tumeipa sana umuhimu
Ma experts karibu kila mtu..
 
Kuna mda nikiwa sijafanya mapenzi km week 2 hivi, Ninaweza kuunganisha,Bao likija nachomoa nafuta na taulo na endelea ila nikifanya hivi,bao la 2 halitoki ng’oo na mapenzi yanaishia kwenye bao moja maana la pili nitakaa hadi saa zima na bado sioni dalili.Tunapumzika tunaanza tena mpk tunaghaili.
All in ushirikiano ndo unaleta kuridhishana hii point nimeichukua.unakutana na mwanamke amelala tu kama maiti utakuta mwamba anajituma kinyama ad jasho linamtoka dema kalala tu chaliii kimya hata mwili hauchezesh.hapo tutegemee mechi iishe ndani ya dakika saba
 
Hahahaha ni ukweli MTUPU sijui nini inasababisha hilo sijui ni blood type, vyakula etc. Kuna haja ya hili kulifanyia utafiti inakuwaje nyingine ni moto na nyingine ni bardiiiiiiii 😜😜😜

Hivi unajua umeandika kwa uzito wa kiwango cha juu mno aiseh.

Si ninasikiaga nyie mkisema mara ohooo sijui wa motro mara wa baridi..mnakuwa mnatuchanganya mjue😝😝
 
Hahahaha ni ukweli MTUPU sijui nini inasababisha hilo sijui ni blood type, vyakula etc. Kuna haja ya hili kulifanyia utafiti inakuwaje nyingine ni moto na nyingine ni bardiiiiiiii 😜😜😜
Au watakuwa na kiwanda cha kutengeneza ubarid huko ndani...au wewe unaonaje
 
Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.

Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa
Elimu pori hizi. hakuna muda maalum wa mtu kumwaga. itategemea wote wawili mpoje. mnaweza wote kuwa kama ndege tu na mkaridhika. mnagusana tu pyaaaaaaaaaaap, bye bye!

Elimu zenu zinapotosha watu sana. kuna watu wanahangaika kusuguana saa nzima. kumbuka kutomwaga kwa muda mrefu pia ni ugonjwa. hili huwa halisemwi na madokta pori.
 
Mtahangaika mno! Dawa ya nguvu za kiume ni kua na pesa tu! Huwezi piga bao mbili au tatu za maana kwa mwanamke,kama una stress za maisha ya hapa na pale! Tusidanganyane!
😅😅😅😅 Nimecheka mno lakini fanya ufanyavo try to avoid this mkuu. Stress na kushindwa kula, ridhika na upatacho wala usihofu kazi yako.
 
Wadada wa sasa changamoto ni mashimo makubwa sana. Hata Kama vibamia vipo Ila mabwawa makubwa aisee.unakutana na kadada 19yrs ila shimo sasa ni hatari
Afu ety unakuta naye analalamikia kuwa halizishwi dah.. uanaume kazi miaka hiii
 
Bao la pili mm mpaka Kuna wakati litakuja kuniulia mtu duh, yaan Kuna mdada nilienda kuoga nikakuta kajificha uvunguni kwa woga maana sikukojoa nikasema ngoja nijimwagie maji afu nije tuendelee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom