Kwa wanaume tu: Kwenda la pili huwa unachukua sekunde au dakika ngapi?

Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.

Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa

Nguvu za kiume now days ni big deal wakuu, kama huna nguvu za kiume huna budi kuwa nazo ikiwa tu utataka kumfaidi mwanamke kunako 6 kwa 6, bila hivo atasema unamsumbua au kumchafua bure (hii kauli wadada wengi wa sikuhizi huitumia ikiwa amekupa ukashindwa kutawala uwanja pale bed na anaweza asikuambie).

Wakuu huwa ukimwaga ya kwanza huwa unakaa sekunde au dakika ngapi mpaka uende ya pili,?
na una uwezo kuperfom ya pili kwa umaridadi?. Kumbuka pia kuperform ya kwanza nao ni mtihani, misuli legelege hutoa sperm mapema chini ya dakika 5 ushakojoa cha kwanza wakati ukiwa na nguvu unabidi man ukae cha kwanza dakika isiyo pungua 10-15 ndio umwage cha kwanza bila hivo fanya bidii kujitibu tatizo.

point kuu ya hii mada huwa nataka tujue ni vipi unaweza rudi twice bila kukaa muda mrefu, yaani ile wazungu washatoka huna hamu wala ukiicheki haisimami full kibamia mlenda daaah huwa ni fedhea kwa demu na kadhia kwako mwenyewe.

visababishi ni
1.punyeto
2.Kukosaa chakula au mlo bora
3.kula na kunywa vilevi hata madawa ya kulevya.
4. Kazi nzito
5. Mawazo kuwaza sana kabla ya tendo.
6. Kukosa vyakula vya kuongeza hamu kwenye tendo.
Hormone na magonjwa tuweke kando lets talk about hizo external factors hapo juu.

dalili za nguvu za kiume kupungua
1.sperm kuwa ndogo yaani low sperm count.

2. Kuchojoa bao la kwanza dakika chini ya tano, au hata chini ya 10.

3. Sperm kuwa kama maji hii pia ni utasa yaani bao halina afya linatiririka kama maji hata likae sehemu flat.

4.uume mdogo kama wa mtoto yaani kibamia wakuu.

5. Kingine uume kuwa hausimami wima yaani legelege kama sausage au kupinda right or left side ways.

6.Hata ukikohoa au ukifumwa uume unarudi yaaani unasinya na kuwa mdogo.
Zipo dalili nyingi ila hizo ni baadhi

Sasa wapo watakao bisha hapa nakusema nguvu za kiume ni pesa sijui nini na nini.
ndio mimi najua pia pesa ni lazima tena muhimu uwe nayo pia na nguvu za kiume pia lazima.

Huwezi amini wakuu kuna wanawake tena 89.9999% hapa Tz hawajui utamu wa dyudyu kisa hawapati wakuwafikisha kunako ligi kuu. Hii ni kwa sababu mwanamke asipo jua kilele hata umpe mbyooo kumi hawezi jua what does dyudyu mean.

Mimi yupo mmoja aliniambia wengi wanamchafua tu hajawahi juaga ni tamu mpaka nilivo msimamia ndio akajua ladha, but she is only 22 wakuu.
Mwingine ni 28 aliniambia hajawahi sikiaga utamu kabisa but huyu sijamuonja niliomba gemuu akaniambia haoni haja yoyote ya kufanya.

Daah wakuu wengi bado tunafail kwenye nguvu ndio maana hawa dada poa wanazidi kuongezeka hawaoni raha ya kuliwa wasikie raha. Wanaona bora wapigie qyumaa zao biashara.

Somo: tujifunze kuwapa ladies haki zao na tuondoe au tutibu nguvu za kiume angalau bao la kwanza unakojoa Dakika 8 mpaka 12 hivi, cha pili ukiaamua funga kazi sio mbaya.
Unaongea kama mtaalamu wa afya au unaropoka tu
 
Unazungumzia jando ambalo kisu kimoja kinatumika kukata watu zaidi ya wawili ??? Huko jando ndo unakotoa elimu ya Afya???
Nadhani hili ndilo tatizo la watoto wa kisasa kutotahiriwa wala kupelekwa kwenye jando na unyago. Wanauliza vitu ambavyo wanapaswa kujua hata kabla ya kupepesa jicho.
 
Kuna wanawake watundu bana.nikikutana na yaliyochoka au yanayojifanya mapenzi ni kuongea luggha za kilaghai laghai huwa ni kimoja tu .ila kuna watu watundu no time to waste mpaka unaona umetendewa haki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom