More time and more money just for women?
i am too old now for that...
good for you..Growing up is mandatory, growing old is optional.
Im feel 17. Ngoja nigugo how does a 17 yrs behave nisij nikazidisha Mie. Lol
Ipo hivyo yaani...teh teh tehHata mume sio Baba pia
Nashangaaga binadamu wanapohalalisha mambo kisa wanyama wengine wanafanya. Akili zao kama hao hao kuku na mbuzi.
Najua for a man ni fahari kumiliki wanawake wengi, hii ni kawaida kwa male gender yoyote iwe ya kuku, mbuzi au simba ila ukiwa nao wengi wasizidi 3.
.
Hata mume sio Baba pia
Ndio,mke sio mama yako. Mama yako ndio anatakiwa kua mmoja tu, unakuta mtu kang'ang'ania mke au mpenzi mmoja kama mama yake.Hahaaaa, mtoa maada kanifurahisha sn,, eti mke sio mama yko...
Na baba wanatakiwa kuwa wangapi?Ndio,mke sio mama yako. Mama yako ndio anatakiwa kua mmoja tu, unakuta mtu kang'ang'ania mke au mpenzi mmoja kama mama yake.
Anaetakiwa kua mmoja ni mama yako tu na sio wengine.
Kua na wanawake wengi fanya ngono mara nyingi uwezavyo ili kupuepuka uwezekano wa kuugua tezi dume.
This is just a reminder.
Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.
Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.
Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.
Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.
Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.
Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.
Umeambiwa hii ni kwa kwa wanaume tu.Hata mume sio Baba pia
Bora wewe useme.....Kitu ambacho wanaume wenzangu hawajui ni kuwa wanadhani ni kazi ngumu sana kuishi na mwanamke kwa amani wakati kumbe ni kitu kirahisi sana....
Kwanza kabisa unatakiwa uelewe kuwa mwanamke ni kiumbe wa aina gani....
Ukishajua kuwa ni mwanamke wa aina gani lazima ujue kuwa huyo mwanamke anataka nini kwako....na je upo tayari kumtimizia....??
Chini ya jua hakuna kiumbe kisichopenda kuthaminiwa ,kupendwa, na kuheshimiwa....
Ukishajua kuwa wajibu wako ni kuyatimiza hayo ili kukamilisha furaha ya mwenzi wako.....
Amani itakayo kuwepo ndani ya ndoa yako itakufanya uwaone wanawake wa nnje kama ni mchawi wa ndoa yako....