mleta mada hongera na wanaume wote wangekuwa na mawazo km yk wallah dunia hii tusingesikia wanawake wanauza papuchi zao au ht kutembea uchi kwa kukosa wa kuwaongoza yaan mwanamke akiwa peke yake anajiamin kupitiliza ambayo hii ni kitu kibaya hana hofu na mume akijua muache hapa ndo nyumbn atarud azungushi wala haemi ndo maneno yao kwahy dawa ni zaid ya mmoja ila nashauri ndoa lazma jmn pia igen ERITREA hivyo suluhisho ni kuwa nao zaid ya mmoja kwa kuzingatia wanawqke wote wadhaifu isipokuwa wanne na wanne hawapo ni katika zama za wema waliotangulia hivyo hakuna mwanaume aliyekamilka kwa mwanamke mmoja.