Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Eeeeh babu hapa kuna jema kweli ,kirahisi tu hapa unirihusu ? Una agenda babu ?
Ni swala la kupokezana vijiti na majukumu... We unamwimbia kinyamwezi nami namfanyia kibabababa...

masikio yanapata raha na baioloji inapata mtikisiko.

kwa hisani ya watu wa Marekani
 
Ni swala la kupokezana vijiti na majukumu... We unamwimbia kinyamwezi nami namfanyia kibabababa...

masikio yanapata raha na baioloji inapata mtikisiko.

kwa hisani ya watu wa Marekani
aisee sasa mbona majukumu unagawa kiupendeleo japo nashukuru kwa nafasi hiyo haikuwa kazi rahisi kukuweza kukushawishi kunipa nafasi hiyo
Najua kuna babu wengine wapo hao sijui hata nitawashawishi vipi labda Kassie anisaidie
 
Yes my pretty Lady or should i call you Darling ?

Ofcoz i ve noticed some common things about us
I would ve been dumb not to figure that out

Im trying to corner you ila una ni outsmart

Though hapo kwa why men are stupid nimekukamata

Ungeniambia tu you are stupid cause you know im with someone halafu bado una ni approach

About the trip we can hold hands in the sands in Nairobi then we set sails on our way to Miami

Hhahahahaha I smell something here.....
 
Am watching....
Halafu na wewe babu una mambo mengi kama pishi la pilau
Kuna mwana mama huwa simuelewi anaitwa Honey Faith kama sijakosea anasema wewe eti ni mtoto wa shule kwamba tunaokuita babu tunakosea ,anatufanya watoto wadogo anakusifia kimafumbo unamfanya nini mpaka awe anasema hivyo ? Anatumia hiyo mechanism kukulinda na wanyakunyaku wa mjini wasimuibie babu yake
 
Halafu na wewe babu una mambo mengi kama pishi la pilau
Kuna mwana mama huwa simuelewi anaitwa Honey Faith kama sijakosea anasema wewe eti ni mtoto wa shule kwamba tunaokuita babu tunakosea ,anatufanya watoto wadogo anakusifia kimafumbo unamfanya nini mpaka awe anasema hivyo ? Anatumia hiyo mechanism kukulinda na wanyakunyaku wa mjini wasimuibie babu yake
Yule mchuchu Honey Faith ni mkabaila na bepari. Anataka anitumie yeye peke yake... Nadhani we ni mjanja unajua defensing mekanizim...

Naweza kukuazima umtumie kwa muda kama hutajali... ila kwa makubaliano umliivu Kassie aloni
 
Yule mchuchu Honey Faith ni mkabaila na bepari. Anataka anitumie yeye peke yake... Nadhani we ni mjanja unajua defensing mekanizim...

Naweza kukuazima umtumie kwa muda kama hutajali... ila kwa makubaliano umliivu Kassie aloni
Hahaha babu mjanja wewe naona mfupa uliomshinda fisi unataka uniachie kijanja
Wacha tu mimi nimwimbie Kassie wakati huo wewe unamfurahisha kibaolojia
 

Wafuma mwikulu - Umetoka Ikulu.
Wangaluka mwana wa Ntemi - Umeamkaje mtoto wa Mtawala.
Siyo Walolo mayo ni Aluyu mayo inamaanisha huyu hapa mama(mwanamke),
Watolwa mwana wa Ntemi - Ameolewa mtoto wa Mtawala.
which is which....
Wamfuma mwikulu =nisamehe mjukuu
Mwikulu wangaluka mwana wa Ntemi=Nenda kwa mjukuu wangu Yamakagashi
Walolo mayo watolwa mwana wa ntemi = Ndio mikono salama ninayokuacha kabla sijafa

Sasa ushauri usipo ufanyia kazi shauri yako
 
Back
Top Bottom