Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Kitu kizuri mtu hula na nduguye... Ila itifaki izingatiwe... Mkubwa anaanza.dah aisee wewe mzee kijana ni kiboko nashukuru sana kwa msamaha kwa sababu ya interests tulizonazo
Kitu kizuri mtu hula na nduguye... Ila itifaki izingatiwe... Mkubwa anaanza.dah aisee wewe mzee kijana ni kiboko nashukuru sana kwa msamaha kwa sababu ya interests tulizonazo
Eeeeh babu hapa kuna jema kweli ,kirahisi tu hapa unirihusu ? Una agenda babu ?Kitu kizuri mtu hula na nduguye... Ila itifaki izingatiwe... Mkubwa anaanza.
Ni swala la kupokezana vijiti na majukumu... We unamwimbia kinyamwezi nami namfanyia kibabababa...Eeeeh babu hapa kuna jema kweli ,kirahisi tu hapa unirihusu ? Una agenda babu ?
Ni swala la kupokezana vijiti na majukumu... We unamwimbia kinyamwezi nami namfanyia kibabababa...
masikio yanapata raha na baioloji inapata mtikisiko.
kwa hisani ya watu wa Marekani




aisee sasa mbona majukumu unagawa kiupendeleo japo nashukuru kwa nafasi hiyo haikuwa kazi rahisi kukuweza kukushawishi kunipa nafasi hiyo Yes my pretty Lady or should i call you Darling ?
Ofcoz i ve noticed some common things about us
I would ve been dumb not to figure that out
Im trying to corner you ila una ni outsmart
Though hapo kwa why men are stupid nimekukamata
Ungeniambia tu you are stupid cause you know im with someone halafu bado una ni approach
About the trip we can hold hands in the sands in Nairobi then we set sails on our way to Miami
Its a free world sweetheart ,come cleanHhahahahaha I smell something here.....
Am watching....Its a free world sweetheart ,come clean
Halafu na wewe babu una mambo mengi kama pishi la pilauAm watching....
Yule mchuchu Honey Faith ni mkabaila na bepari. Anataka anitumie yeye peke yake... Nadhani we ni mjanja unajua defensing mekanizim...Halafu na wewe babu una mambo mengi kama pishi la pilau
Kuna mwana mama huwa simuelewi anaitwa Honey Faith kama sijakosea anasema wewe eti ni mtoto wa shule kwamba tunaokuita babu tunakosea ,anatufanya watoto wadogo anakusifia kimafumbo unamfanya nini mpaka awe anasema hivyo ? Anatumia hiyo mechanism kukulinda na wanyakunyaku wa mjini wasimuibie babu yake
Hahaha babu mjanja wewe naona mfupa uliomshinda fisi unataka uniachie kijanjaYule mchuchu Honey Faith ni mkabaila na bepari. Anataka anitumie yeye peke yake... Nadhani we ni mjanja unajua defensing mekanizim...
Naweza kukuazima umtumie kwa muda kama hutajali... ila kwa makubaliano umliivu Kassie aloni
Wafuma mwikulu - Umetoka Ikulu.
Wangaluka mwana wa Ntemi - Umeamkaje mtoto wa Mtawala.
Siyo Walolo mayo ni Aluyu mayo inamaanisha huyu hapa mama(mwanamke),
Watolwa mwana wa Ntemi - Ameolewa mtoto wa Mtawala.
which is which....
Wamfuma mwikulu =nisamehe mjukuu
Mwikulu wangaluka mwana wa Ntemi=Nenda kwa mjukuu wangu Yamakagashi
Walolo mayo watolwa mwana wa ntemi = Ndio mikono salama ninayokuacha kabla sijafa
Sasa ushauri usipo ufanyia kazi shauri yako
Dah watu wengine bana mimi nimetega ulimbo wangu
Acha kunipeperushia ndege wangu
Wewe ndie unamdanganya kabisa
Now you are talking... we tumia mdomo wa juu mi ntatumia wa chini...Hahaha babu mjanja wewe naona mfupa uliomshinda fisi unataka uniachie kijanja
Wacha tu mimi nimwimbie Kassie wakati huo wewe unamfurahisha kibaolojia
Mchumba... kaa mbali na huyu Yamakagashi ... si mtu mzuri kwako. Usije ukasema sijakuonya.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
which is which....
![]()
![]()
dear..usikonde hapa stori tu....!Mchumba... kaa mbali na huyu Yamakagashi ... si mtu mzuri kwako. Usije ukasema sijakuonya.
Ukiendelea ntafanya maamuzi magumu
Hahaha babu mjanja kamata Remy Martin bottle mbili nitakuja kulipaNow you are talking... we tumia mdomo wa juu mi ntatumia wa chini...
You are my boy!!!Hahaha babu mjanja kamata Remy Martin bottle mbili nitakuja kulipa