Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Tena mimi hasa mijitu yenye ndoa ambayo Binti.com akipita inameza mimate hadi yanajaa tumboni wakati ina wake zao nyumbani siipendi kabisaaa. Kama hamridhiki nao mliwachagua wa nini???
sometimes wake zetu wanajisahau sana
especially pale tunapobahatika kupata watoto
wengi wao wanakua tena hawajiangalii angalii kama zamani,penzi lote huhama na kuamia kwa watoto,hutusahau sisi waume zao,
sometimes upweke ndio unatufanya wengne kutafuta faraja nje,japo tunakiri ya kwamba tunafanya makosa
hivi kweli hili ni tatizo lakukufanya uuze utu wako uvue suruali yako kidushelele kionekane kwingine ?if u real love your wife and she is not just a wife she is your close frende mna kaa chini unamwita mnaongea kwa utaratibu ,hiyo ni naturally nakumbuka mume wangu alinikanya the same story kuwa mapenzi yamehami akwa mtoto japo ilikuwa kweli fasta nilirudi kwenye mstari japo kwa kulazimisha mindi u mtoto mdogo anahitaji great care than his father na kila mmjaana nafasi yake kwangu n muda wake siwezi mpa mzigo wakati dogo ananyonya anaia kila kitu na wakati wake
Testing not bad, vipi kuwa na kimada au kuoa ?
Jambo la kwanza ni mazoea mabaya,ukishamzoea mpz wako vibaya unamchoka then mtu anatoka nje akidhan ni solution kumbe ni matatizo zaid anabak kubadilisha kila kukicha.
Pili wanandoa wengi hawataki kuelezana ukwel kwa yale wayapendayo na wasiyoyapenda,vilevile hawatak kuchallange the challenge that challenging them instead of they escape,hapo ndo inakuja tabia ya kukomoana.
Tatu watu hawana upendo wa kweli bali hutamaniana hasa ktk mambo yaonekanayo,kwan upendo wa kweli huvumulia,haujivuni,haukos kuwa na adabu,hautafut mambo yake,hauhusudu,hufadhili,haufurahii udhalimu bali hufurahia pamoja na kwel,hauhesabu mabaya,huamini yote,hustahimil yote,hutamain yote na haupungui neno wkat wwt.
Wanandoa wengi hawana hofu ya Mungu,ukimuogopa Mungu utaogopa dhambi,na pia kumuomba Mungu ailinde ndoa yenu kwan wakat mwngine ni shetan tu unakuta vitabia vichafu vinaibuka from no where,mtu anabadilika ghafla wakat alikuwa na tabia nzur jua hapo shetan ameingilia ndoa yako tayar.
Nne kila mtu asimame ktk zamu yake,mwanaume ajue wajibu wake kwa mkewe na mkewe ajue wajibu wake kwa mumewe na inapotokea mmoja hajui bas ni busara itumike ktk kuelimishana na si kugombana na kuchukua maamuz yasiyo na busara.pia wanandoa wanatakiwa wathaminiane kila mmja na mwenzake na si mmoja kujiona ana haki zaid ya mwenzake,na kujua kwmb usichopenda ww kutendewa msimtendee mwenzako.
Mtasema mengi...na theory kibao lakini nature ina baki pale pale u cant fight it.
mke mmoja mme mmoja mpaka kifo kiwatenganishe haitekelezeki.
wadada nanyi mmezidi kuturusha roho na hivyo vivazi vxenu. Yaani ukitoka job mpaka unafika home tayari umesha kwisha kabsaaa! Halaf ukifika home wife nae hana time na wewe, sa ikizidi kwann usitafute faraja kwa kificho, sema noma ukigundulika ndo mambo yanaharibika mbaya mazee.
hivi kweli hili ni tatizo lakukufanya uuze utu wako uvue suruali yako kidushelele kionekane kwingine ?if u real love your wife and she is not just a wife she is your close frende mna kaa chini unamwita mnaongea kwa utaratibu ,hiyo ni naturally nakumbuka mume wangu alinikanya the same story kuwa mapenzi yamehami akwa mtoto japo ilikuwa kweli fasta nilirudi kwenye mstari japo kwa kulazimisha mindi u mtoto mdogo anahitaji great care than his father na kila mmjaana nafasi yake kwangu n muda wake siwezi mpa mzigo wakati dogo ananyonya anaia kila kitu na wakati wake
mkuu kweli kabisa mi yamenikuta na mpaka sasa natafuta muafaka wa kudumu.... Nimegundua bila resevu ntakufa mapema kwa stresss!!
Mi kila aliyeko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5 nikimuuliza vipi ikitokea mkiachana na meo utaoa tena wengi wao wanasema hawarudii tena mi nikiwa mmoja wao.
Bora zije ndoa za mikataba, wanaotaka kuingia kwenye ndoa karibuni haya mambo hayafanani lakini ni vyema ukajua ndo siyo lelemama mkifika uzeeni mnamshukuru mungu
Tatizo wengi hulenga katika kuolewa na si katika ndoa...Hii inapelekea mtu kishaolewa baasi anajua keshamaliza kila kitu hata yale mambo muhimu katika ndoa husahau...
Tatizo lingine linalonipelekea ku cheat mie huwa ni kununiwa nuniwa...sio siri jamani nachukia wife anayenunanuna bila mpango
si kweli haya ni maneno ya wanaume kujustify matendo yao.
Tuliambiwa ndoa ni kuvumiliana kufundishana na kukamilishana mnatakiwa mtambue kuwa mwanamke anapojifungua pia nae hutamani na wewe uwepo kumfariji na kumsaidia kazi ya ulezi ni ngumu na inahitaji busara kuendana nayo. Sasa ukienda nje unakuwa umemsaidia nini au umeanza kuongeza matatizo hata huko nje nae akipata mtoto anaweza akawa hivyohivyo. Cha msingi ni kumuelekeza mkeo kuwa amejisahau na anatakiwa kukukumbuka.anatakiwa kuwa msafi anatakiwa kuwa hivi na vile.
. .....tamaa tu, vingine vyote ni visingizio.tu.....
mbona unaziweka mbavu zangu rehani kwa kucheka...... kwani huwa mnavunda?? mbona hamsemi kama hatuwaridhishi... mi ni muwazi kama haniridhishi nasema na huwa nasema awe free kama kuna kitu anaona hakiko sawa kama husemi unategemea mimi niote?? kuepusha shari ni bora kuwa muwazi hasa kwenye mapenzi tutapunguza kwenda kuogonga njee mwishowe tunawekwa kwenye chupa.Unataka kuniambia waislamu wenye wake 3 hawawacheat? Mbona wanatutongoza kila siku? Tabia mbaya tu iloyojengwa na attitude mbaya. Mbona nasi hamturidhishi, ndo maana tunatoka siku hizi. Nani wa kuachwa ndani anavunda?