King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Konnie umenikumbusha kuna siku nilimskia mtu anasema alikuwa mzumbe moro, akaomba uhamisho aje cbe manake anataka kukaa dar. Chezeiya disco eeh?
Kumbe udsm kuna kozi ya veta? Nataka kusomea upishi.
Kumbe udsm kuna kozi ya veta? Nataka kusomea upishi.
hata niliyechoma UDSM, kozi ya veta nakaribishwa?