hahahha unaingia tu na id zile nyengine,hakuna linalokosekana:biggrin1:
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaSidhani kama kuna mtu aliyewahi kula ban nyingi kuliko mimi humu JF. Na sidhani kama kuna mtu mwenye IDs nyingi kuliko mimi. Anayedhani anazo nyingi kunizidi natoa changamoto kwake. Ajitokeze aorodheshe IDs zake zote nami nitaorodhesha za kwangu zote halafu tuone nani ana nyingi zaidi. Any takers? Lol
Sidhani kama kuna mtu aliyewahi kula ban nyingi kuliko mimi humu JF. Na sidhani kama kuna mtu mwenye IDs nyingi kuliko mimi. Anayedhani anazo nyingi kunizidi natoa changamoto kwake. Ajitokeze aorodheshe IDs zake zote nami nitaorodhesha za kwangu zote halafu tuone nani ana nyingi zaidi. Any takers? Lol
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
mkuu nadhani wewe, MS na Masa mna rekodi nzuri na kama nilivyosema hapo juu... Ban inachochea multiple IDs and it is evident
mbwiga wewe na sifa za kijinga......Masa na MS ni wa juzi juzi tu hao. Mimi tokea TEF -Jamboforum - Jamiiforums ninakula ban ban ban ad infinitum ad nauseam. I am officially the King of Bans!
Sidhani kama kuna mtu aliyewahi kula ban nyingi kuliko mimi humu JF. Na sidhani kama kuna mtu mwenye IDs nyingi kuliko mimi. Anayedhani anazo nyingi kunizidi natoa changamoto kwake. Ajitokeze aorodheshe IDs zake zote nami nitaorodhesha za kwangu zote halafu tuone nani ana nyingi zaidi. Any takers? Lol
Nina ID 17...!
Yaani 17 tu? Hahahahaaa mazee bado sana. Mi mwenzio nshasahau hadi idadi. Ngoja niwacheki Invisible na Farida wanisaidie kuzihesabu halafu ntakuja kuziweka hapa.
......... AND LET THE BATTLE BEGIN, LOL!!!!:dance:Nina ID 17...!
......... AND LET THE BATTLE BEGIN, LOL!!!!:dance: