Asabaya
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 1,310
- 414
Mama ndio muhimu wengine siwaoni wanaokua na cheo kama chake,kwaupande wangu hakuna mtu atachukua nafasi yake...Kumpenda na kumheshimu mtu kunatokana na mambo mengi,hakuji hivi hivi tu,na haijalishi ni nani!