Kwa waliopo Mbeya Mjini, naombeni niwaulize

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,689
9,342
Habari wakuu,

Napenda kuuliza mambo yafuatayo:
1. Bei ya chumba cha kupanga inaanzia Tsh ngapi (chumba cha kawaida, chumba chenye tiles, chumba chenye choo ndani n.k)

2. Kilo moja ya mchere ni Tsh ngapi huko?
3. Kilo ya Unga ni Tsh ngapi huko?

Juzi nimetembelea wilaya ya Kahama vyumba vya kupanga vinaanzia Tsh 20,25 impaka 30 elfu
Kilo ya mchele Tsh 900 mpaka 1200

Kilo ya Nyama ni Tsh 7,000

Nawasilisha
 
Bei ipo tofauti kulingana na maeneo. E.g mbaliz, uyole, nzovwe, unapata hata cha 5000 hakina umeme wala maji, kukiwa na umeme single ni 10k+, double vingi ni 20k+, maeneo haya vyumb vyeny tiles & self ni chache kwa nilimowah kuona ni 40k+. Iyunga (ikuti karibu na chuo MUST) kwa sasa vyumba vimepanda single 30k+, tiles pia 40k+, self ni 50k+ hadi 100k, na maeneo mengn bei zinaelekeana wastan wa 20k+ kutegemeana na value ya eneo. mchele unauzwa kwa ndonya ambapo debe(kg.20) kuna ndonya 30. Bei mbaliz, Nzovwe, Uyole ni 700+/ndonya, maeneo mengine almost 800+/ndonya. Chenga n 500/ndonya.
 
Bei ipo tofauti kulingana na maeneo. E.g mbaliz, uyole, nzovwe, unapata hata cha 5000 hakina umeme wala maji, kukiwa na umeme single ni 10k+, double vingi ni 20k+, maeneo haya vyumb vyeny tiles & self ni chache kwa nilimowah kuona ni 40k+. Iyunga (ikuti karibu na chuo MUST) kwa sasa vyumba vimepanda single 30k+, tiles pia 40k+, self ni 50k+ hadi 100k, na maeneo mengn bei zinaelekeana wastan wa 20k+ kutegemeana na value ya eneo. mchele unauzwa kwa ndonya ambapo debe(kg.20) kuna ndonya 30. Bei mbaliz, Nzovwe, Uyole ni 700+/ndonya, maeneo mengine almost 800+/ndonya. Chenga n 500/ndonya.
Mfafanulie maana ya "ndonya'
 
Huku mchele hatununui kwa kilo ni aibu kubwa yn debe mpk 25 why ununue kila siku kilo bei ya vyumba iko kawaida labda ww utake kuishi maeneo ya wazito hapo ujipange lkn maeneo ya kawaida na kodi kawaida uswaz ambapo ukirudi unakuta pazia zinapepea tu wamekusafishia gheto huko ata 10 tu

Kazi kwako.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Bei ipo tofauti kulingana na maeneo. E.g mbaliz, uyole, nzovwe, unapata hata cha 5000 hakina umeme wala maji, kukiwa na umeme single ni 10k+, double vingi ni 20k+, maeneo haya vyumb vyeny tiles & self ni chache kwa nilimowah kuona ni 40k+. Iyunga (ikuti karibu na chuo MUST) kwa sasa vyumba vimepanda single 30k+, tiles pia 40k+, self ni 50k+ hadi 100k, na maeneo mengn bei zinaelekeana wastan wa 20k+ kutegemeana na value ya eneo. mchele unauzwa kwa ndonya ambapo debe(kg.20) kuna ndonya 30. Bei mbaliz, Nzovwe, Uyole ni 700+/ndonya, maeneo mengine almost 800+/ndonya. Chenga n 500/ndonya.
Shukrani mkuu

Nataka nizamie huko mbeya mjini tukafanye shughuli yeyote vipi life la huko?
 
Huku mchele hatununui kwa kilo ni aibu kubwa yn debe mpk 25 why ununue kila siku kilo bei ya vyumba iko kawaida labda ww utake kuishi maeneo ya wazito hapo ujipange lkn maeneo ya kawaida na kodi kawaida uswaz ambapo ukirudi unakuta pazia zinapepea tu wamekusafishia gheto huko ata 10 tu

Kazi kwako.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Mkuu nataka kuzamia huko ila sina mpango wa kuishi maeneo ya uswahilini nataka nizamie eneo la kawaida tu,

Vipi life la huko?
Sina kazi yeyote hata zege ntabeba
Hebu tirilika mkuu
 
Shukrani mkuu

Nataka nizamie huko mbeya mjini tukafanye shughuli yeyote vipi life la huko?
Mkuu uku misosi ndo kama yote kuhusu chakula sio jambo la kuongelea kabisa yan nguniani, chainiz, viaz mbatata, cabbage ndo nyumbani kwake alafu maharage maji ni mala moja tuu kuhusu ibada kama ni mkristo kanisa zipo kama zote vile kuhusu uchumi na sisi tupo uchumi wakati lkn kuwa makini sana chuma ulete ndo nyumbani kwake pia alafu Mkuu utajili wa manyoka upo kwaiyo ukiitaji connection usiogope ongea na watu uvae viatu


Maendeleo ayana Chama
Penda inchi yako kuwa mzalendo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nataka kuzamia huko ila sina mpango wa kuishi maeneo ya uswahilini nataka nizamie eneo la kawaida tu,

Vipi life la huko?
Sina kazi yeyote hata zege ntabeba
Hebu tirilika mkuu
Simple njoo maisha mbeya mepesi sana namaanisha gharama za maisha ziko chini tofauti na mikoa yote uliyowahi kuishi.

Mm nimetembea mikoa mingi lkn nilivofika mbeya life la mbeya liko very simple sana.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nataka kuzamia huko ila sina mpango wa kuishi maeneo ya uswahilini nataka nizamie eneo la kawaida tu,

Vipi life la huko?
Sina kazi yeyote hata zege ntabeba
Hebu tirilika mkuu
Mzee kama huna mtaji wala chochote cha muhimu cha kuku peleka huko ni afadhali hiyo shughuri yoyote uifanyie dar ndio kidogo naona mishemishe yeyote inaweza kukupatia kipato lakini sio mikoani mzee utachakaa
 
Mkuu uku misosi ndo kama yote kuhusu chakula sio jambo la kuongelea kabisa yan nguniani, chainiz, viaz mbatata, cabbage ndo nyumbani kwake alafu maharage maji ni mala moja tuu kuhusu ibada kama ni mkristo kanisa zipo kama zote vile kuhusu uchumi na sisi tupo uchumi wakati lkn kuwa makini sana chuma ulete ndo nyumbani kwake pia alafu Mkuu utajili wa manyoka upo kwaiyo ukiitaji connection usiogope ongea na watu uvae viatu


Maendeleo ayana Chama
Penda inchi yako kuwa mzalendo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kila mtaa kuna kanisa nimeshuhudia kwa macho yangu!
 
Unatamani kupiga mishe mbeya? Huko vyakula vipo bei chini ila maisha ya kawaida tu
 
Nisaidie kujua makanisa yaliyopo kuanzia barabara ya kwanza hadi ya nane!
Makanisa yapo mengi, mm mwenyewe ninalo linaitwa.. THE LIVING COVENANT CHURCH OF TANZANIA IN COLLABORATION WITH DENMARK karibu sana
 
Back
Top Bottom