Kwa waliopo kwenye mahusiano...

Kwa waliopo kwenye mahusiano...

Ulimpenda San x wko ndio maana unaumia. Kwa hapoyaliyopita acha yaende ukienda nayo ndo unaumia zaidi. Mpende mwano na mpe kile anachostahi.

X wako achana nae Kwan mlizaliwa mmshika mikono? Achan nae kuwa jasiri mrembo Bado unauwezo mkubwa Sana wa kufanya vitu vikubwa bila uwepo wake.


Good luck!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi alikuacha baada ya kugundua una mimba au kabla ya mimba alkua hakutak tena kama ni baada ya mimba bac lea mimba yako na mtoto wako hata kwa shida usimuulze mm namuombea asizae mtoto tena maisha yke yote ackie maumiv ya kudharau damu yake mana watu wengi wenye akili wanachkua maamuz ya kutulia na mtu km akigundua amebeba mimba yake wakakubaliana kulea au kutoa maisha yakasonga yeye eti anakimbia f...ck him bitch[emoji82]


Sent using Jamii Forums mobile app
mambo Cutemam kuna cku nili ku pm hata huja reply
 
Pole Sana Kwa Changamoto Na Uchungu Usiyoweza Kuvumilika
Uliacha Kazi, Oops, Njoo PM
Bila Shaka Nadhani Nakufahamu
 
mahusiano yana changamoto nyingi je umejua sababu hasa ya kukuacha ni nini
je wewe sio sehemu ya tatizo hadi anakuacha
jichunguze kwanza wewe una tatizo sehemu gani katika hayo mahusiano yenu yawezekana umebadilika tabia baada ya kuona tayari umezaa nae ukaamini hawezi tena kukuacha
ni muhimu na wewe ukajichunguza kwa mapana yake kabla ya kuanza kumtupia lawala
 
Nimekutana na mmoja, ila nimemkuta akiwa na ujauzito wa miezi miwili,sijui hili wala lile ndio akanichana kuwa jamaa aliyempa ujauzito alimchumbia kabisa sema jamaa ndio wale wenzetu ubabe ubabe,wakuburuza wanawake mpaka basi sasa binti kavumilia kaona hiyo ndoa bado anakutana hizo mambo, sasa anajiuliza huko ndoani itakuwaje, katika uchunguzi, jamaa yuko around 40 afu haeleweki na pia kumbe hii ya kutoa barua na kuishia kati kashaifanyaga hata huko siku za nyuma.

kwenye ule ubabe ubabe anamwambia demu kuwa mimba pia sio yake.....demu kaona isiwe shida kaamua uchumba uvunjwe, matokeo sasa jamaa na familia yake ndio kidizaini kama wana suffer kumbembeleza demu arudi ila huyu demu hataki, anadai kashaletwa kejeri na dharau sana, yaani anajitayarisha kulea mtoto wake mwenyewe,....nimemchunguza na kuangalia hustle zake nimeona ni mtu anayeyajua maisha haswa, maana kajiendeleza diploma, kapiga kazi zile out of alichosomea kauza duka, kapitia pitia sehem kadhaa za kazi mpaka alipo sasa.


Alexander
Umeona sasa halafu mwisho wa siku watu wanakuja kuona kila singo mama ni miyeyusho.

Sasa kwa mwanaume anayetafuta mwanamke akili unafikiri atamuacha!hamwachi aise..
 
Tafuta Mganga mloge...
Nicheki PM.

Watu kama hao si wa kuwaacha waendelee furahia maisha.
Dah. Huu ushauri wako namimi nimeusikia leo. Kuna rafiki yangu yeye ana Mke wake, ila amempa ujauzito mchepuko. Sasa huyo mchepuko amekuja kwangu analalamika kuwa rafiki yangu amemuacha na kuamua kubaki na mke wake. Huyu Dada anajiapiza kuwa atatafuta Mganga wa kienyeji ili amroge mtu, maana ujauzito unakaribia miezi minne.
 
Jamani machungu yangu hayaelezeki, hii naomba mjifunze hata nyie mlioko kwenye mahusiano. Usizae kama hujafunga ndoa yamenikuta naitwa single mother sasa hivi bila kupenda mwanaume alinionesha kunipenda na kunipa moyo ipo siku anaweza ishi na mimi lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa na nilivyotegemea.

Niliacha kazi yangu iliyonipa kipato japo kilikuwa kidogo kilitosha nikaacha kazi yangu kwenda shule kuongeza elimu mana niliona kwa level yake ilibidi na mimi nijiongeze kidogo!

Ndugu yangu mwanaume sio ndugu yako sasa hivi kaniambia nisimtafute ana mahusiano yake, naumia nimeishiwa nguvu kabisa hata za kwenda shule tena.
Pole mno c* ila hayo nimoja yachangamoto ktk maisha yamausiano, ivyo be strong like mother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, he was not meant to be yours, piga moyo konde, songa mbele yatapita....tuliachwa be a dharau, this time wanatutaka balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duuuu pole ushauri wangu hautosaidia sana kubadilisha huwalisia wa maisha yako ila pambana tu dada yangu ndo mitihani hyo hakuna ajuaye kesho na moyo wa mtu ni kichaka alikutumia tu pole sana dada
 
Umeona sasa halafu mwisho wa siku watu wanakuja kuona kila singo mama ni miyeyusho.

Sasa kwa mwanaume anayetafuta mwanamke akili unafikiri atamuacha!hamwachi aise..
Huwezi kuchora graph kutumia point moja tu. Lazima uwe na point zaidi ya mbili ndipo uchore graph! Huyu ALEX_ANDER ni limbukeni tu, unasimliwa na muhusika sifa zake unalewa! Naye ana mabaya yake usimsifie bila kufanya uchunguzi
 
Poleee mdada mapenz ndo yalivyo,ukiwa m@laika mwenzako anakua shetani,ukiwa shetani mwenzako anakua malaika.!

F@nn¥[emoji769]
 
Jamani machungu yangu hayaelezeki, hii naomba mjifunze hata nyie mlioko kwenye mahusiano. Usizae kama hujafunga ndoa yamenikuta naitwa single mother sasa hivi bila kupenda mwanaume alinionesha kunipenda na kunipa moyo ipo siku anaweza ishi na mimi lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa na nilivyotegemea.

Niliacha kazi yangu iliyonipa kipato japo kilikuwa kidogo kilitosha nikaacha kazi yangu kwenda shule kuongeza elimu mana niliona kwa level yake ilibidi na mimi nijiongeze kidogo!

Ndugu yangu mwanaume sio ndugu yako sasa hivi kaniambia nisimtafute ana mahusiano yake, naumia nimeishiwa nguvu kabisa hata za kwenda shule tena.
Cha kwanza, badilisha hilo jina la mrembo...hili jina linaashiria mengi. Cha pili usimtafute tena, fanya yako kama sio wewe vile...yaani badilisha life style (iwe bora kabisa). Cha tatu, ni kweli kuzaa kabla ya ndoa ni kitanzi. Ahsante kwa kuwatahadharisha wengine. Mungu akupe nguvu mpya.
 
Back
Top Bottom