Kwa waliopo kwenye mahusiano...

Kwa waliopo kwenye mahusiano...

Pole sana dear, jikaze endelea na maisha yako ukimbembeleza sana mtu ambaye ameshakwambia hakutaki ataishia kukunyanyasa tu utapata machungu zaidi.
Just move on mrembo na mtoto wako Mungu atawasaidia utamsahau na kama anakupenda basi atarudi mwenyewe
 
Usingle maza unauma najisikia aibu mtaa ninaoishi mana hakuna aliyekuwa hajui mahusiano yetu inauma sana kazi niliacha saizi mood ya kusoma imepotea kwajili ya kuachwa ntasomaje nikienda shule nina mawazo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ishi maisha yako bwana

Unajisikia aibu mtaa mzima kwani hao wanaoishi hapo mtaani kwenu hawajawahi kuachwa ...

Ukitaka kuifurahia dunia ishi kwaajili ya manufaa yako kwanza usiishi kwaajili ya watu ". Hautoweza kuwaridhisha kamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usingle maza unauma najisikia aibu mtaa ninaoishi mana hakuna aliyekuwa hajui mahusiano yetu inauma sana kazi niliacha saizi mood ya kusoma imepotea kwajili ya kuachwa ntasomaje nikienda shule nina mawazo sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Mlipenda sana show off mtaani ndo kinachokuumiza.... keep your love life private always...stay low key next time
 
Pole sana dada................pambana tu mama, mwanao atakua vizuri tu na maisha yataendelea kama kawaida, huyo jamaa muangalie tu kama bango la harmonize na twist.
 
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuu..

.mnajikitaga mnazunguka weeee unakuja kukutana na mwanamke amekidhi viwango na anakili ya maisha unamsalute kumbe “singo mama”...[emoji23][emoji23]patamu hapo

Nimekutana na mmoja, ila nimemkuta akiwa na ujauzito wa miezi miwili,sijui hili wala lile ndio akanichana kuwa jamaa aliyempa ujauzito alimchumbia kabisa sema jamaa ndio wale wenzetu ubabe ubabe,wakuburuza wanawake mpaka basi sasa binti kavumilia kaona hiyo ndoa bado anakutana hizo mambo, sasa anajiuliza huko ndoani itakuwaje, katika uchunguzi, jamaa yuko around 40 afu haeleweki na pia kumbe hii ya kutoa barua na kuishia kati kashaifanyaga hata huko siku za nyuma.

kwenye ule ubabe ubabe anamwambia demu kuwa mimba pia sio yake.....demu kaona isiwe shida kaamua uchumba uvunjwe, matokeo sasa jamaa na familia yake ndio kidizaini kama wana suffer kumbembeleza demu arudi ila huyu demu hataki, anadai kashaletwa kejeri na dharau sana, yaani anajitayarisha kulea mtoto wake mwenyewe,....nimemchunguza na kuangalia hustle zake nimeona ni mtu anayeyajua maisha haswa, maana kajiendeleza diploma, kapiga kazi zile out of alichosomea kauza duka, kapitia pitia sehem kadhaa za kazi mpaka alipo sasa.


Alexander
 
Back
Top Bottom