Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
hahaaa kidawa na wife nani noma?
Kidawa habari nyingine chief, achana na hawa kuku wa kienyeji bwanaa. 😅
Let's meet at the top, cheers 🍻
hahaaa kidawa na wife nani noma?
Ikitokea haja ya kuoa zaidi ya mmoja in shaa Allah nitafanya hivyo kwani linawezekana.mpango wa kuoa mke wa pili upo?
angalia usishikwe mzeeKidawa habari nyingine chief, achana na hawa kuku wa kienyeji bwanaa.
Let's meet at the top, cheers