Kwa waliooa tu: Je, ni kweli ndoa bila michepuko haiendi?

Ngoja kwanza ajifungue kama round mbili hivi aanze kunenepa hovyo awe na kitambi aanze kujali na kupenda watoto wake hamu ya sex kwake ipungue kabisa uanze kunyimwa gemu

Ndo utaelewa kwa nini ni muhimu
aisee kumbe ndo mambo yalivyo.una michepuko mingapi mzee
 
Ngoja kwanza ajifungue kama round mbili hivi aanze kunenepa hovyo awe na kitambi aanze kujali na kupenda watoto wake hamu ya sex kwake ipungue kabisa uanze kunyimwa gemu

Ndo utaelewa kwa nini ni muhimu
aisee kumbe ndo mambo yalivyo.una michepuko mingapi mzee
 
Kuna kipindi hawa Jinsia Ke, wanapoteza hamu ya Tendo, hasa baada ya kuzoeana sana na mwenza wake na kipindi tayar ameshapata mtoto na majukumu ya kifamilia yamemuelemea.
Ndo apo kidume umetoka kazin unategemea upate faraja kwa mwenza lakin unaambulia kusukumwa na neno Nimechoka acha nipumzike.
Michepuko lazima uitafute....
wewe unayo mingapi mzee?
 
Back
Top Bottom