Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Jinga sanaMchepuko una raha yake!!!
Haswa Mchepuko uwe kabinti kadogo kanachomuheshimu wife
Au awe na yeye yupo kwenye ndoa yaani mke wa mtu... Wewe utajilamba vidole
Jinga sanaMchepuko una raha yake!!!
Haswa Mchepuko uwe kabinti kadogo kanachomuheshimu wife
Au awe na yeye yupo kwenye ndoa yaani mke wa mtu... Wewe utajilamba vidole
I don't like it but I can't helpJinga sana
Haha Tajiriiiii, hukati tamaa tu mzee wangu.😂mzee nipe koneksheni basi na yule dada ako acha wivu mzee
😅 Naaam! Mtoto ana vitu exceptional sana yule.huyo kidawa inaonekana unamkubali sana
Oeni katika wanawake mnaowapenda wawili, watatu au wanne na kama mtakhofia kutofanya uadilifu basi mmoja - Quran.Kuna mwanandoa mmoja anasema " oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko " hakuna watu malaya kama waliooa.kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa mnafeli wapi?....Uzi tayari
fanya hivyo aiseeHaha Tajiriiiii, hukati tamaa tu mzee wangu.
Let's meet at the top, cheers
hahaaa kidawa na wife nani noma?Naaam! Mtoto ana vitu exceptional sana yule.
Let's meet at the top, cheers
mzee wewe umeoa wangapi?Oeni katika wanawake mnaowapenda wawili, watatu au wanne na kama mtakhofia kutofanya uadilifu basi mmoja - Quran.
nini maoni yako kuhusu ndoa ya wake wengi?ndio, ndoa bila michepuko inawezekana.
nini maoni yako kuhusu ndoa ya wake wengi?
Kwa hizi nyuzi zinazoletwa humu kila siku watu wakilia lia kwenye ndoa zao, naanzaje kumtupa mchepuko wangu kidawa? Kikubwa ajitambue tu.
Let's meet at the top, cheers
hamna mzee nataka nikae na wanawake wawili hela nayo ya kutosha so ntawahudumia fresh tuTajiri yamekusubi yapi ?
Nimeoa mmoja, swali jingine?mzee wewe umeoa wangapi?
mchepuko upo?Nimeoa mmoja, swali jingine?
Tatizo mimi sijui kingelezaI don't like it but I can't help
Mchepuko una raha yake!!!
Haswa Mchepuko uwe kabinti kadogo kanachomuheshimu wife
Au awe na yeye yupo kwenye ndoa yaani mke wa mtu... Wewe utajilamba vidole
Mchepuko wa nini?mchepuko upo?
mpango wa kuoa mke wa pili upo?Mchepuko wa nini?