Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
Kuna mwanandoa mmoja anasema "oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko" hakuna watu malaya kama waliooa, kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa mnafeli wapi?
Uzi tayari
Uzi tayari