Utakuta caretakers wa hiyo family yote ni huyo kokoo na huyo maza. Sasa hayo majukumu yanahamia kwako. Hapo unayo timu ya mpira na reserve.
Kazi kwako.
ilikuwa furaha bin happy siku nilipompeleka mchumba kwa utambulisho kwetu.Wana JF kwenu ilikuwaje? 29th June 2011 12:40 PM Familia ilivyoshangilia siku nilipompeleka kwetu mchumba.jpg
Wewe ni yupi hapo, na mchumba wako ni yupi hapo? na mbona sioni wazee akina mama na baba waliopokea wageni? yaani hao watoto na bibi ndio walipokea mchumba? Anyway, ni siku ya furaha saana kwa wahusika na wazazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.