uhuru wa nchi gani?
We are testing our fighters Sukhoi SU-MKI and Rockheed Martin Raptor F-22 for Show on 9 December.
Also we are testing our Apache.AH-64 Helicopters provided as msaada by US Government.
Ndege mbovu za serikali hizo, inadaiwa ni za kivita!!
Kama ni NGURUMO basi hapo itakua ni msondo wanataka kupiga show yao so usiwe na wasiwasi.
Ni kwamba hapa Jf, kuna waheshmiwa wengi , wana upeo wa kujua Jamii forums iko Dar tu! Jiulize!
Mf. Mie hapa naandika hii comment niko njiani Kigali na Kesho nitakua Uvira - Drc .
Btw somebody anavundumka anauliza muungurumo Posta - mjini , kila mji una Posta mjini.
Mji gani wenye Posta porini ?
Hizi ndege ni balaa. Speed 100000. muungurumo ka bomu. Duh!.