Nafurahia sana kuona Ndege kubwa zikitoa moshi mithili ya rocket angani

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Jul 14, 2021
3,979
5,295
Good night!

Hata nikiwa 'busy', ikitokea nimeangalia juu na kuuona moshi mweupe unaoachiliwa na 'dege' kubwa angani, huwa nafurahi mno na ku 'appreciate' teknolojia na ubunifu uliofanywa na wahandisi kutengeneza ndege.

Ila pia mawazo yanakwenda mbali na kujiuliza maswali, teknolojia ya kutengeneza ndege kubwa kubwa namna hii ni nani wameishikilia (wameihodhi)? Je, Tanzania tunayo? Kwa nini?

Nini kipo nyuma ya siri ya kutengeneza 'madege' makubwa? Sisi tutaweza lini? Tatizo ni mizaha mingi hata kwenye mambo 'sensitive' au ni nini?

Je, tatizo ni ulaji wa sembe wa muda mrefu uliopelekea udumavu wa akili?
Hawa waliohodhi teknolojia kubwa kubwa ni binadamu kamili au ni mchanganyiko? Na ni wapi na katika vitu gani wanahifadhi hizo teknolojia?!

Naomba mnisaidie.
Mganga hajigangi.

NB: Maneno ndani ya funga semi si rasmi au ni ya lugha ya kiingereza.
 
Hakuna utaalamu kwenye hizo ndege ety kufanya zitoe moshi, ule moshi unatokana na hali ya baridi huko juu inapochanganyikana na joto la kutoka kwenye injini za ndege. Mfano, kipindi cha baridi ukitoa pumzi kwa njia ya mdomo kuna moshi unatoka.

Nakumbuka, miaka ya nyuma kuna jitu zima alinipiga kofi baada ya kutofautiana nae kwenye hizo ishu, jamaa alikuwa anasema ile ni rocket afu mm nikamkatalia nikamuambia ile ni ndege ya kawaida.
 
Hakuna utaalamu kwenye hizo ndege ety kufanya zitoe moshi, ule moshi unatokana na hali ya baridi huko juu inapochanganyikana na joto la kutoka kwenye injini za ndege. Mfano, kipindi cha baridi ukitoa pumzi kwa njia ya mdomo kuna moshi unatoka.

Nakumbuka, miaka ya nyuma kuna jitu zima alinipiga kofi baada ya kutofautiana nae kwenye hizo ishu, jamaa alikuwa anasema ile ni rocket afu mm nikamkatalia nikamuambia ile ni ndege ya kawaida.
Hili tatizo la kusema "ile ni rocket" wanalo wengi sana, hata unaodhani wameelimika kidogo. Huwa nikisikiliza mada za hivyo nakaa kimya sijibu wala kutoa hoja kwa vile najua malumbano yatakuwa mengi.
 
Hili tatizo la kusema "ile ni rocket" wanalo wengi sana, hata unaodhani wameelimika kidogo. Huwa nikisikiliza mada za hivyo nakaa kimya sijibu wala kutoa hoja kwa vile najua malumbano yatakuwa mengi.
Mm nilichezea kofi la ghafla 😂
 
Hakuna utaalamu kwenye hizo ndege ety kufanya zitoe moshi, ule moshi unatokana na hali ya baridi huko juu inapochanganyikana na joto la kutoka kwenye injini za ndege. Mfano, kipindi cha baridi ukitoa pumzi kwa njia ya mdomo kuna moshi unatoka.

Nakumbuka, miaka ya nyuma kuna jitu zima alinipiga kofi baada ya kutofautiana nae kwenye hizo ishu, jamaa alikuwa anasema ile ni rocket afu mm nikamkatalia nikamuambia ile ni ndege ya kawaida.
Contrails
 
Good night!

Hata nikiwa 'busy', ikitokea nimeangalia juu na kuuona moshi mweupe unaoachiliwa 'dege' kubwa angani, huwa nafurahi mno na ku 'appreciate' teknolojia na ubunifu uliofanywa na wahandishi kutengeneza ndege.

Ila pia mawazo yanakwenda mbali na kujiuliza maswali, teknolojia ya kutengeneza ndege kubwa kubwa namna hii ni nani wameishikilia (wameihodhi)? Je, Tanzania tunayo? Kwa nini?

Nini kipo nyuma ya siri ya kutengeneza 'madege' makubwa? Sisi tutaweza lini? Tatizo ni mizaha mingi hata kwenye mambo 'sensitive' au ni nini?

Je, tatizo ni ulaji wa sembe wa muda mrefu uliopelekea udumavu wa akili?
Hawa waliohodhi teknolojia kubwa kubwa ni binadamu kamili au ni mchanganyiko? Na ni wapi na katika vitu gani wanahifadhi hizo teknolojia?!

Naomba mnisaidie.
Mganga hajigangi.

NB: Maneno ndani ya funga semi si rasmi au ni ya lugha ya kiingereza.
Wewe ni kiazi mviringo unafurahiaje mamoshi yanayochafua mazingira , hilo ni tatizo la afya ya akili nadhani ni vyema ukawatafuta wataalam pale milembe.
 
Good night!

Hata nikiwa 'busy', ikitokea nimeangalia juu na kuuona moshi mweupe unaoachiliwa na 'dege' kubwa angani, huwa nafurahi mno na ku 'appreciate' teknolojia na ubunifu uliofanywa na wahandisi kutengeneza ndege.

Ila pia mawazo yanakwenda mbali na kujiuliza maswali, teknolojia ya kutengeneza ndege kubwa kubwa namna hii ni nani wameishikilia (wameihodhi)? Je, Tanzania tunayo? Kwa nini?

Nini kipo nyuma ya siri ya kutengeneza 'madege' makubwa? Sisi tutaweza lini? Tatizo ni mizaha mingi hata kwenye mambo 'sensitive' au ni nini?

Je, tatizo ni ulaji wa sembe wa muda mrefu uliopelekea udumavu wa akili?
Hawa waliohodhi teknolojia kubwa kubwa ni binadamu kamili au ni mchanganyiko? Na ni wapi na katika vitu gani wanahifadhi hizo teknolojia?!

Naomba mnisaidie.
Mganga hajigangi.

NB: Maneno ndani ya funga semi si rasmi au ni ya lugha ya kiingereza.
Huo si moshi ni mawingu yanayotengenezwa na joto kali la injini linachemsha unyevu kisha unagandishwa na baridi, kukiwa hakuna baridi kali huo (moshi) unakuwa hafifu au haupo.
 
Good night!

Hata nikiwa 'busy', ikitokea nimeangalia juu na kuuona moshi mweupe unaoachiliwa na 'dege' kubwa angani, huwa nafurahi mno na ku 'appreciate' teknolojia na ubunifu uliofanywa na wahandisi kutengeneza ndege.

Ila pia mawazo yanakwenda mbali na kujiuliza maswali, teknolojia ya kutengeneza ndege kubwa kubwa namna hii ni nani wameishikilia (wameihodhi)? Je, Tanzania tunayo? Kwa nini?

Nini kipo nyuma ya siri ya kutengeneza 'madege' makubwa? Sisi tutaweza lini? Tatizo ni mizaha mingi hata kwenye mambo 'sensitive' au ni nini?

Je, tatizo ni ulaji wa sembe wa muda mrefu uliopelekea udumavu wa akili?
Hawa waliohodhi teknolojia kubwa kubwa ni binadamu kamili au ni mchanganyiko? Na ni wapi na katika vitu gani wanahifadhi hizo teknolojia?!

Naomba mnisaidie.
Mganga hajigangi.

NB: Maneno ndani ya funga semi si rasmi au ni ya lugha ya kiingereza.
Ule moshi ni uchafuzi mkubwa wa mazingira usifurahie.
 
Hakuna utaalamu kwenye hizo ndege ety kufanya zitoe moshi, ule moshi unatokana na hali ya baridi huko juu inapochanganyikana na joto la kutoka kwenye injini za ndege. Mfano, kipindi cha baridi ukitoa pumzi kwa njia ya mdomo kuna moshi unatoka.

Nakumbuka, miaka ya nyuma kuna jitu zima alinipiga kofi baada ya kutofautiana nae kwenye hizo ishu, jamaa alikuwa anasema ile ni rocket afu mm nikamkatalia nikamuambia ile ni ndege ya kawaida.
Yah nakumbuka hata mimi nikiwa NS tulibishana sana nakumbuka siku moja tulikutana na bro mmoja ni mhandisi wa ndege vita mbona watu walikaa kimya.
 
Yah nakumbuka hata mimi nikiwa NS tulibishana sana nakumbuka siku moja tulikutana na bro mmoja ni mhandisi wa ndege vita mbona watu walikaa kimya.
Afu wanakuaga wabishi knoma, na pointi yao ni kuwa ndege haitoi moshi ila roketi ndio inatoa moshi
 
Kwenye ndege sio moshi inamwaga mafuta ya ziada (yanayo onekana kama moshi) ili kupunguza uzito unaohitajika kutua kwa usalama.
 
Back
Top Bottom