Naomba nikupongeze Lisa, Ni watu wachache sana hupata hayo machozi ya furaha...wengi wetu huishia kulia yale ya uchungu na yanayoacha vidonda kwenye mioyo yetu... Labda jaribu na hii namba 2 ya Bibi, Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Babu Dc Inaonyesha bibi anafaidi sanaaaaaaaaaaaaaaa! Loh! huo unanikumbusha wakati naenda kwake siku za jumamosi saa nne asubuhi , unakuta keshafanya usafi na kauweka huo wimbo, basi ukifika unavyopokelewa kwa shangwe , Loh! Embu niucopy nikamuwekee leo, maana siku hizi wala sishangiliwi tena nikirudi home wala kupokelewa kwa kiss. leo nao=enda kudai haki yangu ya msingi ya kupikelewa wakati narudi kwa ofisi kama alivyokuwa ananipokea nikienda kwake.
mi nililiona saa nyingi sana hili nikaona ninyamaze tuUsihofu dada yangu gfsonwin.....Mungu wetu ni mkubwa sana...
Hatakuacha kamwe kwani imani yako yote i kwake....
That's priming....
Wewe endelea na kazi, ila ujue kuwa chemical reaction imeshaanza.....
Nakutakia V njema (hii herufi nayo imekaa vibaya aisee) na kila la heri!!
Babu DC!!
eheheeee vigrandpa vina mvuto hivo?????????/ visweet sana kwa valentine.tujipange
Jamani, hawa wazee hawa kaa nao mbali, naona kidole chako kinataka kunichoma jicho
Mie kuna mmoja wao namuadimaya kikweli kweli, ila namuonea aibu kufunguka :majani7::becky::majani7:
Naomba nikupongeze Lisa, Ni watu wachache sana hupata hayo machozi ya furaha...wengi wetu huishia kulia yale ya uchungu na yanayoacha vidonda kwenye mioyo yetu... Labda jaribu na hii namba 2 ya Bibi, Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Babu Dc Inaonyesha bibi anafaidi sanaaaaaaaaaaaaaaa! Loh! huo unanikumbusha wakati naenda kwake siku za jumamosi saa nne asubuhi , unakuta keshafanya usafi na kauweka huo wimbo, basi ukifika unavyopokelewa kwa shangwe , Loh! Embu niucopy nikamuwekee leo, maana siku hizi wala sishangiliwi tena nikirudi home wala kupokelewa kwa kiss. leo nao=enda kudai haki yangu ya msingi ya kupikelewa wakati narudi kwa ofisi kama alivyokuwa ananipokea nikienda kwake.
Kuna mganga fulani huku Tanga anatoa dawa ya kurekebisha mambo yako...
Naomba uwasiliane na Smile au Zion Daughter wakusindikize...
By the way.....fanya jitihada leo iwe zamu yako kumbeba mzee akirudi kwa job, ...kama weight amekuzidi sana, omba wenye maguta wakusaidie ili lengo lako litimie...
Best wishes,
Babu DC!!
Nakutakia V njema (hii herufi nayo imekaa vibaya aisee) na kila la heri!!
Babu DC!!
Unaniumiza moyoni kwa maneno hayo ujue?
Yaani namuadimaya ila basi tu, ukimtaja taja siku pendwa kama hii?!
Kwani umezuiwa kufunguka??
Babu DC!!
Shauri yenu,
Kusema hamtaki kusema, mnakaa kuwavimbisha wazee wa watu vichwa vyote.....
Babu DC!!
Ha ha ha ha, acha tuwavimbishe waongeze maisha
Ila naandaa waraka wa kufunguka