Yebo yebo na rasta za kimasai nahisi hadi vitukuu vyetu watakuja suka ni fashion nzuri mno.Haichuji kwa kweli na inaweza kukaa hata wiki tatu kama uko busy
Sasa hiyo ni hasara aisee. Inabid uende kwa mafund wa bei ya juu🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli halafu mimi nina katabia kabaya naweza kushona nguo nikaludi nayo home nikijalibu nikakosoa sehemu moja hiyo sitoivyaa yaani mpaka najiuliza why hata kama nitaipeleka kwa fundi alekebishe.
Yaan halafu ukute akiharibu.Upuuzi ni kununua kitenge 25,000 fundi akushonee kwa laki moja
Mnakuwaga ving'ang'anizi nyinyiNikiona hivi roho inanitoka
Na huu ubonge mpaka fundi anipatie !!
Ah ah ah tena wanenr bwana wakionaga mshono wa mwembamba wanataka hivyo hivyo hawajui mafundi nao wana shonaga bila kushauri
Wao wana angalia pesa tuWana roho mbaya mafundi wengine hawasemi ukweli.
Aaah watu wanene hata hawaangalii pesaUkiwa na hela hata mbu atakung'ang'ania
YAANI NI SWALA LA VIUMBE HAI WOTE WATAKUZOEA....Ukiwa na hela hata mbu atakung'ang'ania
WAGWAAN!! TREMENDOUS