Mkuu hii ni nje ya madaHakuna shamba tupu la Tsh 600,000/ kule Njombe na Iringa, labda pande za Tukuyu/Rungwe.
Wewe muuzaji utakuwa umedanganywa, mimi mwenyewe niko pande hizo hizo. Hatujafikia bei hiyo.
Toka huko,Yaani uibie watu halafu watu wakae kimya.Kuwa na busara kila BIASHARA sio lazima umaharibie Mwenzio na wewe tangaza yako
Mbegu za miti zinapatikana TTSA Iringa, au Morogoro au Lushoto au Arusha. Bei ya pines ni Tsh 90,000/ mpaka msimu uliopita, ila mbegu zilizoboreshwa kilo moja ni zaidi ya milioni moja.Mkuu hii ni nje ya mada
Mbegu za miti zinapatikana wapi? Zinauzwaje?
Inakua baada ya muda gani?
BORA UMENIFUMBUA MACHO NAMI NAHITAJI SHAMBA UKO NJOMBEHakuna shamba tupu la Tsh 600,000/ kule Njombe na Iringa, labda pande za Tukuyu/Rungwe.
Wewe muuzaji utakuwa umedanganywa, mimi mwenyewe niko pande hizo hizo. Hatujafikia bei hiyo.
KUWA MAKINI ANZA KUFUATILIA KWANZA KABLA HUJATOA HELAJaribu kunifafanulia mkuu kabla sijamtafuta huyu jamaa bei, sifa za maeneo hayo na tahadhari za kuchukua kabla,wakati na baada ya kununua shamba.
Ahsante kwa ushauri nimeuchukua na nitaufanyia kazi.KUWA MAKINI ANZA KUFUATILIA KWANZA KABLA HUJATOA HELA
Ndio,Hiyo rotation period ndo muda inachukua kukomaa, au?
Njoo tulime parachichi mkuu. Maana ndio habari ya dunia kwa sasa.BORA UMENIFUMBUA MACHO NAMI NAHITAJI SHAMBA UKO NJOMBE
Vipi garama zake kuanzia shamba na utunzaji wa miti kama hautojali dadavua ili tupate japo pa kuanzia.Njoo tulime parachichi mkuu. Maana ndio habari ya dunia kwa sasa.
Boss samahani kwa nitakayoyasema,Kuwa na busara kila BIASHARA sio lazima umaharibie Mwenzio na wewe tangaza yako
Ndio miti gani hiyo?Mikambokambo Huko haioti?
Toka huko,Yaani uibie watu halafu watu wakae kimya.
Kilo moja inatosha hekari ngapi?Mbegu za miti zinapatikana TTSA Iringa, au Morogoro au Lushoto au Arusha. Bei ya pines ni Tsh 90,000/ mpaka msimu uliopita, ila mbegu zilizoboreshwa kilo moja ni zaidi ya milioni moja.
Miche ya miti hupatikana kwenye vitalu na bei ya kawaida ni Tsh 80/ mpaka Tsh 100/ kwa mche. Kuna baadhi ya maeneo mpaka Tsh 50/. Kuna sehemu nyingine mpaka 150/. Miaka ya nyuma GRL walikuwa wanagawa bure kwa out growers.
Rotation period ya pines ni 23yrs, Cyprus 26yrs.
Wapi parachichi zinastawi sana na gharama zake zikoje kwa heka?Njoo tulime parachichi mkuu. Maana ndio habari ya dunia kwa sasa.
miti ya mbao au parachichi?Vipi garama zake kuanzia shamba na utunzaji wa miti kama hautojali dadavua ili tupate japo pa kuanzia.
Sehemu kubwa ya ukanda wa nyanda za juu kusini ( Njombe/Iringa/Mby/Rukwa na some parts za Songea), Ukanda wa wilaya ya Hai kule kilimakyaro, Kigoma, Bukoba.Wapi parachichi zinastawi sana na gharama zake zikoje kwa heka?
Cyprus huitwa mikambo kambo.Ndio miti gani hiyo?