therealjoh
Senior Member
- Dec 21, 2016
- 108
- 87
Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa.
Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika.
Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba husika na umri wa miti iliyo ndani ya shamba husika.
Shamba la ekari 7 miti ina miaka 7 bei 1.2milioni
Shamba la ekari 22 ipo miti mikubwa/midogo,miti mikubwa ni ⅓ ya shamba lote, bei ni laki 7.5 kwa ekari.
Shamba la ekari 6 miti ina miaka 7-8 bei ni milioni 1.5 kwa ekari.
Lipo pia shamba la ekari 25 lenye miti ya zaidi ya miaka 10,ila nusu ya shamba imeshachanwa mbao.
Mashamba yote yana hati ya mauziano ya kijiji.
Kwa mawasiliano na maulizo yoyote nitafute 0688 055 606 au ni PM.
NB.Mashamba yote yana fire line kubwa kuzuia moto kuvuka na kufikia mashamba,kama yanavyoonekana kwenye picha
Karibuni sana.
Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika.
Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba husika na umri wa miti iliyo ndani ya shamba husika.
Shamba la ekari 7 miti ina miaka 7 bei 1.2milioni
Shamba la ekari 22 ipo miti mikubwa/midogo,miti mikubwa ni ⅓ ya shamba lote, bei ni laki 7.5 kwa ekari.
Shamba la ekari 6 miti ina miaka 7-8 bei ni milioni 1.5 kwa ekari.
Lipo pia shamba la ekari 25 lenye miti ya zaidi ya miaka 10,ila nusu ya shamba imeshachanwa mbao.
Mashamba yote yana hati ya mauziano ya kijiji.
Kwa mawasiliano na maulizo yoyote nitafute 0688 055 606 au ni PM.
NB.Mashamba yote yana fire line kubwa kuzuia moto kuvuka na kufikia mashamba,kama yanavyoonekana kwenye picha
Karibuni sana.