Mbegu ya mti gani?Kilo moja inatosha hekari ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbegu ya mti gani?Kilo moja inatosha hekari ngapi?
Ndiyo mkuuHiyo rotation period ndo muda inachukua kukomaa, au?
nipatie no ya jamaaMada nzuri hii kwa anayehitaji maeneo ya Mafinga/Mufindi anaweza kunicheki nitamsaidia namba ya jamaa mwenye mashamba pale na atamuuzia bei ambayo hatojutia nasema hivi sababu jamaa ameniuzia zaidi ya mara 2 na bei zake n murua sana Ukiwa na 1.5M unauhakika wa eka 10.
nimekuwekea Inbox mkuunipatie no ya jamaa
Nipatie namimi namba yakenimekuwekea Inbox mkuu
Shukrani sana mkuu, umenifumbua macho nina uhitaji wa kununua shamba.
hii bei ni hatar sana...ila kila la kheriWanaotaka kuwekeza kwenye miti wanaweza kuniona mashamba yapo Njombe Lugarawa Ugera.Nauza Shamba lenye miti sh.1,000,000 Kwa eka moja,shamba tupu lakupanda mwenyewe sh.600,000 karibu MAWASILIANO 0654889707
mkuu ulipat nambaNipatie namimi namba yake
hapana sukupatamkuu ulipat namba
kwa hiyo hata shamba ulikosahapana sukupata
ndiyo mkuu kuna sehemu nyingine unayoijua wanauza mashamba?kwa hiyo hata shamba ulikosa
nilipoucheki huu uzi nikaona wewe utakuwa mwokozi wangundiyo mkuu kuna sehemu nyingine unayoijua wanauza mashamba?
dah ila sikupata namba inabidi tumuulize malila nafikiri atatusaidianilipoucheki huu uzi nikaona wewe utakuwa mwokozi wangu