Kwa wale wanaopenda muziki kwenye gari, tukutane hapa

mabwiku

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
447
389
Habari,nimejaribu kutafuta nyuz ambayo inaelezea utaalam wa kufunga mziki kwenye gari sijaona,hivyo nikaona sio mbaya kama nitafungua nyuzi humu,hii maada ni maalumu kwa wanaopenda mziki mkubwa na loudest pamoja na bass ya kutosha kwenye gari,

Pia kwa wale ambao wanapenda mziki wa saizi ya kati pamoja na stereo nzuri,bass ya wastan,pia waweza uliza ama kushare ufahamu ipi ni woofer nzur ktk gari,au unaweza kuuliza kuhusu radio za gari pamoja na ubora,nitashauri nachokielewa lkn najua wapo wengine watakua wanafaham zaidi ivyo tutasaidiana,,

Pia ukitaka ushauri jinsi ya kupamba gari yako kwa cool stiker pia tunaweza kushauriana,au nini uweke kubadiri mwonekano wa gari yako kua bora na nazifu zaidi,pamoja na rims ya kuendana na gari yako ikawa na mwonekano mzur zaid
 
Habari,nimejaribu kutafuta nyuz ambayo inaelezea utaalam wa kufunga mziki kwenye gari sijaona,hivyo nikaona sio mbaya kama nitafungua nyuzi humu,hii maada ni maalumu kwa wanaopenda mziki mkubwa na loudest pamoja na bass ya kutosha kwenye gari,

Pia kwa wale ambao wanapenda mziki wa saizi ya kati pamoja na stereo nzuri,bass ya wastan,pia waweza uliza ama kushare ufahamu ipi ni woofer nzur ktk gari,au unaweza kuuliza kuhusu radio za gari pamoja na ubora,nitashauri nachokielewa lkn najua wapo wengine watakua wanafaham zaidi ivyo tutasaidiana,,

Pia ukitaka ushauri jinsi ya kupamba gari yako kwa cool stiker pia tunaweza kushauriana,au nini uweke kubadiri mwonekano wa gari yako kua bora na nazifu zaidi,pamoja na rims ya kuendana na gari yako ikawa na mwonekano mzur zaid
Vitu gani vinaongeza thamani ya muziki wa gari ......... bei ya chini kabisa ya muziki wa gari ni kiasi gani .......... je,hii kitu kuna mahali mnasomea au ???
 
Ni Woofer ipi nzuri kwa muziki na Car booster ipi nzuri mfano Deochestra nk?Na Watts ipi nzuri 2400 nk na inakuaje booster inakuwa na watts 2400 na woofer in 2600 inakuaje
 
NI Amplifaya ipi nzuri...na pia ni woofer ipi nzuri kati ya sony au kenwood au ipi uijuayo wewe?Na pia kuna uzuri gani au ubaya gani unapokuwa na amplifaya yenye 2400w na woofer ya 2600 na ukaufunga kwenye gari?na je kupata mziki mzuri ni lazima niwe na equillaizer??au naweza funga tu amplifaya na woofer mabwiku
 
Kati ya mziki ambao unanua woofer ambayo ina inbuilt amplifier na anbao unakuwa ni passive woofer inayounganishwa na booster, ni upi mzuri?
 
Je kwa nini woofer ya 2500w ya gari haiwezi kutoa mzki mkubwa kuzidi proffessional woofer ya 1000w mfano kama oppra?
 
mimi sijui ujana au uzee,hata sijielewi nipo kundi gani maana hakuna mziki naopenda iwe wa hapa au wa nje sina mwanamuziki hata mmoja nampenda duniani,hebu niambie wajuzi na mimi ntakuwa na tatizo gani?
Wewe unaitwa lovelessmusic.
 
Tv gani nzuri kwa Gari ambayo haijakaa kichina sanah..
Zipo nying sana mkuu japo bei imesimama sana,mfano kuna hii kenwood,inauwezo mkubwa wa out put,kioo ni full hd na ni inbuilt equilizer,inaplay hdmi pia,pia video za mp4 inacheza,unadownload youtube unaplay bila video kuziconvert
2d3cf9b593697d58abdd8d9947e3e247.jpg
0bce18b04a16d47e56364c05ecbff0f1.jpg
 
Vitu gani vinaongeza thamani ya muziki wa gari ......... bei ya chini kabisa ya muziki wa gari ni kiasi gani .......... je,hii kitu kuna mahali mnasomea au ???
Bei ya chini,unaweza ukawa hata na laki1 ukafunga mzigi mzuri tu,ila unatumia zile woofer ambazo zina amplifier ndan,unaweza kupata hata kwa laki moja na ikapiga mziki mzuri tu.
 
Habarin wadau tatizo langu ni kam ifuatavyo jana asubui kuna mtu aliniazima betri ya gari yangu kuiboost gari yake nikamtolea na akafanikisha zoezi lake..tatizo linakuja baada ya kurudishia lile betri sa hizi radio ya kwenye gari haiwaki nashindwa kuelewa tatizo ni nn
 
Bonyeza kitufe cha kuwashia Radio na kama ukibonyeza na haiwaki basi angalia kitu kinaitwa FUSE inawezekana imeungua so unabadilisha hiyo FUSE na kuweka nyingine kitu mpeto Nahisi hivyo jaribu halafu rudisha feedback
 
Bei ya chini,unaweza ukawa hata na laki1 ukafunga mzigi mzuri tu,ila unatumia zile woofer ambazo zina amplifier ndan,unaweza kupata hata kwa laki moja na ikapiga mziki mzuri tu.
Mkuu mbona haujanijibu maswali yangu?angalia hapo juu
 
Je kuna redio ya kufunga kwenye gari ambayo wakati wa kupiga miziki au kuonesha picha naweza kutoa toka y-tube?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom