Kwa wale wanaopenda kwenda Polisi, magereza, JWTZ isipokuwa JKT usaili wanukia.

Mr. Masasi

Member
May 12, 2011
53
4
Usaili utafanyika mwezi september kwa mujibu wa tarifa za ndani za wasemaji wa majeshi hayo. Tarifa hzo za kiinteligencia zinasema wameshindwa kufanya usaili mapema mwezi wa kwanza na pili kutokana nakukosa pesa kwani fungu walilotengea limehamishiwa ktk matumizi mengine. Kwa hyo kwa sasa wanaomba mungu budget mwezi wa 6 ifike ili waweze kuidhinishiwa fungu lingine kwa ajili ya shughuli hyo. Source ni Jarida la majeshi la kila mwisho wa mwaka
 
si kweli....wanaoanza cadet form six na wenye vyeti technician wanaripoti leo....
Kuna wanadiploma ambao wata wainta ivyuu wanatakiwa kwenda zimbabwe ambao wote hao wanasubir mpk mwez wa 6 kwenda monduli.
January hii nafasi zinazotoka...
 
si kweli....wanaoanza cadet form six na wenye vyeti technician wanaripoti leo....
Kuna wanadiploma ambao wata wainta ivyuu wanatakiwa kwenda zimbabwe ambao wote hao wanasubir mpk mwez wa 6 kwenda monduli.
January hii nafasi zinazotoka...

maelezo yako cjayaelewa,hao form 6 wanaripoti wapi?
 
Usaili utafanyika mwezi september kwa mujibu wa tarifa za ndani za wasemaji wa majeshi hayo. Tarifa hzo za kiinteligencia zinasema wameshindwa kufanya usaili mapema mwezi wa kwanza na pili kutokana nakukosa pesa kwani fungu walilotengea limehamishiwa ktk matumizi mengine. Kwa hyo kwa sasa wanaomba mungu budget mwezi wa 6 ifike ili waweze kuidhinishiwa fungu lingine kwa ajili ya shughuli hyo. Source ni Jarida la majeshi la kila mwisho wa mwaka

kwani huu ni mwezi wa ngapi?na hiyo septemba ya lini?
 
si kweli....wanaoanza cadet form six na wenye vyeti technician wanaripoti leo....
Kuna wanadiploma ambao wata wainta ivyuu wanatakiwa kwenda zimbabwe ambao wote hao wanasubir mpk mwez wa 6 kwenda monduli.
January hii nafasi zinazotoka...

kwenye hii sekta nakukubali nitakapomalza digrii hapo mwezi wa sita ntakuconsult kwa pm kwa details zaidi.
 
ndani ya jeshi.walikuwa na usaili wa afsa kadeti na leo ndo wanatakiwa kuanza kurepot huko monduli kwao...kuna usaili mwngne...kwa wale wote wenye C ya hesabu na phizikia..wanatakiwa kupelekwa zimbabwe kujifunza ufundi wa ndege..na hi koz ipo chini ya kikosi..mwezi wa sita wanatakiwa monduli kufanya mafunzo ya uafsa...wakimaliza wanachukua raia...na ikumbukwe hao diploma,certfkate na form six walishapewa vyeo na sasa ni kulipa tu.
Haya septemba siamini kbs...
 
Good maelezo kutoka kwa Zubeda,lakn wadau mnaotaka kujoin huko nami ni mmoja wao,na leo nmeenda makao makuu Jwtz Upanga kutaka kujua je ni lini degree holder wataanza usaili? Nmeelezwa kua usail kwa degree utaanza mwezi huu na leo kuna watu wameenda Monduli kwa Short courses then wakimaliza hyo short cozi ndio watu wa degree wataenda,so tumeongea mengi na nafikiri ntakua sehemu ya hao vijana
 
Good maelezo kutoka kwa Zubeda,lakn wadau mnaotaka kujoin huko nami ni mmoja wao,na leo nmeenda makao makuu Jwtz Upanga kutaka kujua je ni lini degree holder wataanza usaili? Nmeelezwa kua usail kwa degree utaanza mwezi huu na leo kuna watu wameenda Monduli kwa Short courses then wakimaliza hyo short cozi ndio watu wa degree wataenda,so tumeongea mengi na nafikiri ntakua sehemu ya hao vijana


huo usaili wa watu wa degree utakaoanza january ni kuwa wamishaaply tayari au?
 
thanx nimewapata, so hizo ni jwtz vp polisi au uhamiaji kuna mwenye news zozote
 
Good maelezo kutoka kwa Zubeda,lakn wadau mnaotaka kujoin huko nami ni mmoja wao,na leo nmeenda makao makuu Jwtz Upanga kutaka kujua je ni lini degree holder wataanza usaili? Nmeelezwa kua usail kwa degree utaanza mwezi huu na leo kuna watu wameenda Monduli kwa Short courses then wakimaliza hyo short cozi ndio watu wa degree wataenda,so tumeongea mengi na nafikiri ntakua sehemu ya hao vijana

sio kwamba leo wameenda monduli bt leo ndio wanaanza kuwasili kunduchi ready for monduli trip
 
Back
Top Bottom