Kwa wale waliowahi kuagiza Smart TV kwa njia ya mtandao na mzigo ukakufikia salama

Ituzaingo Argentina

JF-Expert Member
Jun 20, 2020
1,870
2,176
Wakuu kwema, hope wazima kabisa

Msaada wenu wakuu, nataka niagize mzigo huko mombasa kwa njia ya mtandao, kwa wale waliowahi kuagiza Tv, fridge n.k nchini Kenya /Mombasa na mzigo akaupokelea kwenye BUS ama DHL katika mkoa wake.

Je, mzigo huo ulimfikia salama, na hakuna tatizo lolote lililojitokeza? Kwa wale ambao labda waliingizwa chaka na mali zao kupotea!

Naomba mnisaidie kwa hilo wakuu, nitashukuru sana.
 
Wakuu kwema, hope wazima kabisa

Msaada wenu wakuu, nataka niagize mzigo huko mombasa kwa njia ya mtandao, kwa wale waliowahi kuagiza Tv, fridge n.k nchini kenya/Mombasa na mzigo akaupokelea kwenye BUS ama DHL katika mkoa wake, je! Mzigo huo ukamfika salama, na hakuna tatizo lolote lililojitokeza, kwa wale ambao labda waliingizwa chaka na mali zao kupotea!

Naomba munisaidie kwa hilo wakuu, nitashukuru sana.
Hamna haja ya kununua tv Mombasa
 
Bei gali sana mkuu
Unawajua TRA?

Unalipia 18% pale pale DHL. Hafu gharama za kusafirisha za DHL unazijua?

Unataka ununue kama TV ya bei gani hivi?

Maana kama ya Million 1 bora uende Kariakoo utaipata kwa Mil 1.3 au 1.4 hivi..

Ila kama ya 1.8 kwenda juu angalau unaweza kusave.

Ukiwa na mtu China ingekua rahisi yeye akutumie lakini kwa kununua ww direct sikushauri.

Kwa mtu China nishawahi. TV.
 
Utapigwa tukio, kama unataka kwea bus nenda hapo nairobi au mombasa ukaangalie bei, ila sioni utofauti wa bei na huku, sana sana zitakua ofa za matapeli zinakutamanisha, wengi wametapeliwa.

Bora ukwende zenjibar unaweza pata kitonga.
 
Unawajua TRA?

Unalipia 18% pale pale DHL. Hafu gharama za kusafirisha za DHL unazijua?

Unataka ununue kama TV ya bei gani hivi?

Maana kama ya Million 1 bora uende Kariakoo utaipata kwa Mil 1.3 au 1.4 hivi..

Ila kama ya 1.8 kwenda juu angalau unaweza kusave.

Ukiwa na mtu China ingekua rahisi yeye akutumie lakini kwa kununua ww direct sikushauri.

Kwa mtu China nishawahi. TV.

Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu
 
Kwa TV, Friji, etc chini ya Mil 1.5 nenda Kariakoo tu uliza machimbo unapata.

Ya nini kukaa miezi na presha unasubiria meli ifike wakati unaweza kwenda Kariakoo jioni ukaweka Netflix ghetto.

Nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako, nitawatafuta hao machimbo inshaalah, tv zao ni OG mkuu?
 
Utapigwa tukio, kama unataka kwea bus nenda hapo nairobi au mombasa ukaangalie bei, ila sioni utofauti wa bei na huku, sana sana zitakua ofa za matapeli zinakutamanisha, wengi wametapeliwa.

Bora ukwende zenjibar unaweza pata kitonga.

Aisee, shukrani sana mkuu
 
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako, nitawatafuta hao machimbo inshaalah, tv zao ni OG mkuu?
Unaenda nunua maduka makubwa achana na viduka vya Manzese.

1. Tafuta model ya TV/fridge online ulioipenda.

2. Nenda MCity (LG Samsung Sony Hisense shop) kisha uliza bei.

3. Nenda Kariakoo kwa authorized retailer kama 5 ulizia bei ya same model.

4. Compare hafu angalia wapi unapata deal nzuri.

5. Over.
 
Unaenda nunua maduka makubwa achana na viduka vya Manzese.

1. Tafuta model ya TV/fridge online ulioipenda.

2. Nenda MCity (LG Samsung Sony Hisense shop) kisha uliza bei.

3. Nenda Kariakoo kwa authorized retailer kama 5 ulizia bei ya same model.

4. Compare hafu angalia wapi unapata deal nzuri.

5. Over.

Shukrani sheikh Mad, ubarikiwe
 
Back
Top Bottom