Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Ni siri usizungumze hadharani.TUNZA SIRI.
kwann unasema bora ulikosa?
Daah!ningeipata hiyo,labda ningepata hata shilingi ya vocha,kitaa nomaaa..
kuwatosa walimu nmeumia sana,hawajawatendea haki
huku Moshi tuiomba watu zaidi ya elfu tano wamechaguliza mia tatu na uchee,cc tuliotoka chuo hakuna aliyepata.form six wawili wamepata na form four mmoja.waliobaki wote ni walimu.Hii inapingana na kauli ya "Liwalo na Liwe" as alisema wametoa nafasi nyingi kkwa wanafunzi waliomaliza ili angalao wajipaitie vujisent.
huku Moshi tuiomba watu zaidi ya elfu tano wamechaguliza mia tatu na uchee,cc tuliotoka chuo hakuna aliyepata.form six wawili wamepata na form four mmoja.waliobaki wote ni walimu.Hii inapingana na kauli ya "Liwalo na Liwe" as alisema wametoa nafasi nyingi kkwa wanafunzi waliomaliza ili angalao wajipaitie vujisent.