Nawapa pole wale waliokosa mkopo awamu ya kwanza pia niwaombe muwe wavumilivu kwani kuna awamu ya pili ingawa hii itawahusu sana wale walioomba chuo awamu ya tatu na nne.
Kama wewe ulipata chuo awamu ya kwanza na ya pili na Jana jina lako halijatoka upo kwenye wakati mgumu.
Kama wewe ulipata chuo awamu ya kwanza na ya pili na Jana jina lako halijatoka upo kwenye wakati mgumu.