mocker2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 217
- 201
Aha acha kuwatixhia mkuu unajua vigez gan vimetumika kw waliopat awam ya kwanza auNawapa pole wale waliokosa mkopo awamu ya kwanza pia niwaombe muwe wavumilivu kwani kuna awamu ya pili ingawa hii itawahusu sana wale walioomba chuo awamu ya tatu na nne.
Kama wewe ulipata chuo awamu ya kwanza na ya pili na Jana jina lako halijatoka upo kwenye wakati mgumu.