Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

Binadamu hasa wanawake ni viumbe hatari sana. Unaeza kufanya kila kitu ukijuacho na ukaamin kuwa unamrdhisha mwenza wako ila kikaja kutokea kituko na usiamini macho yako.
Ishi uwezavyo usiishi kwa kumfrahisha mtu bhana
 
ch.upi za 50,000 kila mwezi eeh? naanza na mwezi huu napitia mwenge pale za buku jerojero ntapata ka chup.i 30 hiv!
 
Tujiandae kupata mapenzi mapya kutoka kwa wapenzi wetu,cjui watakua wamesoma APA?
 
Wanawake tunapenda kujaliwa,

Outing si lazima ila kauli ya mume, treatments ni muhimu sana....
Akuridhishe ktk 6 x 6, asiwe wakufoka foka, Mwanaume awe ni rafiki yako si ukimuona km unafanya kitu unatetemeka au awe hapendi utani... Mwanamke ni mtu ambaye anapenda kusifiwa...Mwanaume akufanye ujiamini kwamba wewe mwanamke ni mzuri na anakupenda....Sio yeye anakuponda ukitoka unasifiwa na wengine..

Mwanaume awe anathamini Wazazi wako. Hayo mambo ya pesa, outing yatafuata hata mwanamke unaweza mtoa outing mumeo..

Hiyo kuthamini kuchoka kwa mume pia Mwanaume anatakiwa athamini kuchoka kwa mwanamke Sio mwanamke awe punda mwanaume yeye akitoka kazini kakaa wkt nyoote mmetoka kazini...Ni kushirikiana..


Kujituma kitandani si mwanamke tuu hata wewe mwanaume...Mimi nizame chumvini wkt wewe hata siku moja hujawahi kuzama chumvini kwangu....Wewe ukojoleshwe ila mimi sijawahi kukojoa...Na hili tatizo wanalo wanawake wengi...Utakuta wengine ukiwauliza lini walikojoa hawajui wala ladha ya kukojoa hawajui...Mwanaume anapanda akifika yeye baasi mwanamke atajiju...


Soote tunahaki ya kuridhishana, cha msingi kila mmoja kujua hisia za mwenzie, kumjali mwenzie..Upendo wa kweli, na kusikilzana..na vile vile kukubali kuambiwa unapokosea ili uelimike kuhusu mapenzi..
kweli kabisa kuna point hapa
 
Nimeipenda sana hii Kinyau...Hongera zako.



Tukatae tukukubali mapenzi ni kama mtoto tu anayekuwa --there are constant needs to make relationships grow na usipoyahudumia basi jiandae kuyaua. Watu wanapoingia kwenye ndoa husahau kabisaaa kuwa the same baby love u once shared is still there : kina mama wanasahau yale maneno matamu na upole na kina baba husahau kabisa huduma ndogo ndogo; Kuna watu wanapitisha miaka hamna anayeinitiate outing, hamna anayemnunulia mwenzie hata kitambaa cha jasho. Mke au mume hajui hata size ya nguo ya mwenzie; Jamani hata mtoto leo huletewa pipi , next week chocolate nk.

Ego inaumiza watu sana: Lets learn to keep our love lives sparkling as Love is a decision we choose to do everyday , it doesn't happen naturally.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake tunapenda kujaliwa,

Outing si lazima ila kauli ya mume, treatments ni muhimu sana....
Akuridhishe ktk 6 x 6, asiwe wakufoka foka, Mwanaume awe ni rafiki yako si ukimuona km unafanya kitu unatetemeka au awe hapendi utani... Mwanamke ni mtu ambaye anapenda kusifiwa...Mwanaume akufanye ujiamini kwamba wewe mwanamke ni mzuri na anakupenda....Sio yeye anakuponda ukitoka unasifiwa na wengine..

Mwanaume awe anathamini Wazazi wako. Hayo mambo ya pesa, outing yatafuata hata mwanamke unaweza mtoa outing mumeo..

Hiyo kuthamini kuchoka kwa mume pia Mwanaume anatakiwa athamini kuchoka kwa mwanamke Sio mwanamke awe punda mwanaume yeye akitoka kazini kakaa wkt nyoote mmetoka kazini...Ni kushirikiana..


Kujituma kitandani si mwanamke tuu hata wewe mwanaume...Mimi nizame chumvini wkt wewe hata siku moja hujawahi kuzama chumvini kwangu....Wewe ukojoleshwe ila mimi sijawahi kukojoa...Na hili tatizo wanalo wanawake wengi...Utakuta wengine ukiwauliza lini walikojoa hawajui wala ladha ya kukojoa hawajui...Mwanaume anapanda akifika yeye baasi mwanamke atajiju...


Soote tunahaki ya kuridhishana, cha msingi kila mmoja kujua hisia za mwenzie, kumjali mwenzie..Upendo wa kweli, na kusikilzana..na vile vile kukubali kuambiwa unapokosea ili uelimike kuhusu mapenzi..

Hahaha kweli tupu..
 
Mwanamke unaweza mnunulia simu ya laki nane afu jamaa akamuwekea vocha ya buku mbili na akala mzigo...!
 
Siku hizi Maisha yamekuwa ghali si Kama zamani boxer shorts tu siku hizi it's 10k Kwa moja nadhani chupi zitakuwa more than that naona Kama ni kawaida tu

Sasa nikivaa ya elf hamsini huko nan atajua hapo maybe kiatu dress pia elf hamsin sio hadh yake maybe pochi wallah. Mafikizolo heb na wewe njoo labda mie niko mlango wanyuma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom