wepson
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 831
- 219
Mapenzi hayahitaji kuwa na desa. Binadamu ni ngumu sana kujua anataka nin. Na ninachohitaji mimi ni tofauti na anachohitaji yule.
Mwanamke anaweza kukucheat kwa ajili ya dushe tu, haijalishi unampa vitu gani.
Umeona mkuu, kuna thread nyingi watu wanakuja eti mwanamke mmoja mwenye hela zake kaolewa anamtaka kimapenzi kwa sasa bwana dushe ndo kila kitu mkuu,