Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

Wanawake tunapenda kujaliwa,

Outing si lazima ila kauli ya mume, treatments ni muhimu sana....
Akuridhishe ktk 6 x 6, asiwe wakufoka foka, Mwanaume awe ni rafiki yako si ukimuona km unafanya kitu unatetemeka au awe hapendi utani... Mwanamke ni mtu ambaye anapenda kusifiwa...Mwanaume akufanye ujiamini kwamba wewe mwanamke ni mzuri na anakupenda....Sio yeye anakuponda ukitoka unasifiwa na wengine..

Mwanaume awe anathamini Wazazi wako. Hayo mambo ya pesa, outing yatafuata hata mwanamke unaweza mtoa outing mumeo..

Hiyo kuthamini kuchoka kwa mume pia Mwanaume anatakiwa athamini kuchoka kwa mwanamke Sio mwanamke awe punda mwanaume yeye akitoka kazini kakaa wkt nyoote mmetoka kazini...Ni kushirikiana..


Kujituma kitandani si mwanamke tuu hata wewe mwanaume...Mimi nizame chumvini wkt wewe hata siku moja hujawahi kuzama chumvini kwangu....Wewe ukojoleshwe ila mimi sijawahi kukojoa...Na hili tatizo wanalo wanawake wengi...Utakuta wengine ukiwauliza lini walikojoa hawajui wala ladha ya kukojoa hawajui...Mwanaume anapanda akifika yeye baasi mwanamke atajiju...


Soote tunahaki ya kuridhishana, cha msingi kila mmoja kujua hisia za mwenzie, kumjali mwenzie..Upendo wa kweli, na kusikilzana..na vile vile kukubali kuambiwa unapokosea ili uelimike kuhusu mapenzi..


Mapenzi ya kweli ni kuvumiliana mkielewa ni vigumu watu wawili kuwa na idealogy sawa mtatofautiana tu, huo utofauti uvumilie kwa mwenzako ilihali ukielewa kuna vitu vingi na yeye anakuvumilia.

Nini mwanamke anahitaji katika mapenzi

1. Kuthaminiwa na kupendwa.

2. Umjali kwa vitu vidogo vidogo, mwanaume elewa kuwa mwanamke haitaji gharama kubwa kukutambua kama mpenzi unayemjali; Ukitoka kazini pitia hata Pochi ya 10,000/= tu, au kila baada ya mwezi nunua Chupi za 50,000/= tu ni silaha tosha kwa mkeo au mpenzio. Usisubiri mpaka vitu hivyo vidogo vidogo avifanye mwanaume mwingine.....UMEKWISHA.

3. Outing, si lazima mwende Escape one, Double Tree, hata mkitoka nyumba mkaenda uwanjani pamoja kuangalia mechi kati ya Yanga na Azam inatosha kwa mwanamke, au mtoke nyumbani mwende kuangalia movies Mlimani city au Quality center, inatosha kama utafanya walau mara moja kwa mwezi.

4. Mwambie amependeza, kwa kifupi mwanaume jifunze kumsifia mkeo/mpenzio; hata mnavyofanya sex mwambie umejisikia raha na umeridhika.

Kwa hayo hapo ni ngumu mwanamke kukusaliti/kutoka nje ya ndoa hata siku moja.
Nini mwanaume anahitaji kufanyiwa:
1. Kubembelezwa kama mtoto, ashikwe shikwe ndefu, afanyiwe massage. si lazima kila siku, ila angalau mara moja kwa week.

2. Mwanamke thamini kazi anazofanya mumeo, tambua akili yake huwa inachoka kufikiria famili na majumu ya kazini; akifika nyumbani mkarimu vizuri.

3. Ukiwa kitandani jitume, onyesha una-enjoy, la msingi msaidie katika kukurahisishia wewe mwanamke kufika kileleni.
4. Kuwa msafi wewe mwanamke, msafi ndani mpaka nje! kama inawezekana oga hata mara nne kwa siku; Hakikisha mwanamume wako hakutani na harufu yoyote ile.

Kwa kufanya hayo hautamsikia mwanamume anatoka nje na kukusaliti.

Asanteni wandugu
 
maisha ya Ndoa hayana hata formula , wengine hata hawapeani zawadi wala kutoka out na wanadumu na kuheshimiana ajabu , Mwanamke mwingine kila anacholetewa na mumewe kibaya hajui hata kushukuru ! Hii ni sekta ngumu sana Duniani aisee...Nakubaliana na usafi tu ....Ndio wanawake tunapaswa kuwa wasafi sana kutokana na maumbile yetu

wachamawe!
 
Binadamu ni kiumbe mgumu kumuelewa, japo katika mengi tunafanana ila kuna machache tunatofautiana sana.

Na katika hayo machache ndipo tofauti yetu ilipo. Anyway wanaoweza wafanye.
 
suala la 6 *6 ni tatizo tusaidiane kuliepuka ,wanawake mtusaidie tuwafanye mfurahie,kutafuta mchepuko sio suluhisho,twende pamoja kwenye mazoezi itaboost uwezo wetu katika eneo hilo.
Tukumbuke kitu kimoja mfumo wa sasa wamaisha unamfanya mume/mke wote waende kazini hivi tukitoka huko nahisi ni busara kusaidiana majukumu ya nyumbani!
 
Mapenzi ya kweli ni kuvumiliana mkielewa ni vigumu watu wawili kuwa na idealogy sawa mtatofautiana tu, huo utofauti uvumilie kwa mwenzako ilihali ukielewa kuna vitu vingi na yeye anakuvumilia.

Nini mwanamke anahitaji katika mapenzi



1. Kuthaminiwa na kupendwa.

2. Umjali kwa vitu vidogo vidogo, mwanaume elewa kuwa mwanamke haitaji gharama kubwa kukutambua kama mpenzi unayemjali; Ukitoka kazini pitia hata Pochi ya 10,000/= tu, au kila baada ya mwezi nunua Chupi za 50,000/= tu ni silaha tosha kwa mkeo au mpenzio. Usisubiri mpaka vitu hivyo vidogo vidogo avifanye mwanaume mwingine.....UMEKWISHA.

3. Outing, si lazima mwende Escape one, Double Tree, hata mkitoka nyumba mkaenda uwanjani pamoja kuangalia mechi kati ya Yanga na Azam inatosha kwa mwanamke, au mtoke nyumbani mwende kuangalia movies Mlimani city au Quality center, inatosha kama utafanya walau mara moja kwa mwezi.

4. Mwambie amependeza, kwa kifupi mwanaume jifunze kumsifia mkeo/mpenzio; hata mnavyofanya sex mwambie umejisikia raha na umeridhika.

Kwa hayo hapo ni ngumu mwanamke kukusaliti/kutoka nje ya ndoa hata siku moja.
Nini mwanaume anahitaji kufanyiwa:
1. Kubembelezwa kama mtoto, ashikwe shikwe ndefu, afanyiwe massage. si lazima kila siku, ila angalau mara moja kwa week.

2. Mwanamke thamini kazi anazofanya mumeo, tambua akili yake huwa inachoka kufikiria famili na majumu ya kazini; akifika nyumbani mkarimu vizuri.

3. Ukiwa kitandani jitume, onyesha una-enjoy, la msingi msaidie katika kukurahisishia wewe mwanamke kufika kileleni.
4. Kuwa msafi wewe mwanamke, msafi ndani mpaka nje! kama inawezekana oga hata mara nne kwa siku; Hakikisha mwanamume wako hakutani na harufu yoyote ile.

Kwa kufanya hayo hautamsikia mwanamume anatoka nje na kukusaliti.

Asanteni wandugu
its true to some xtent.. now i knw why he is still missing me after all this time ya kumuacha (am a woman writing this)
 
Mapenzi ya kweli ni
kuvumiliana mkielewa ni vigumu watu wawili kuwa na idealogy sawa
mtatofautiana tu, huo utofauti uvumilie kwa mwenzako ilihali ukielewa
kuna vitu vingi na yeye anakuvumilia.

Nini mwanamke anahitaji katika mapenzi

1. Kuthaminiwa na kupendwa.

2. Umjali kwa vitu vidogo vidogo, mwanaume elewa kuwa mwanamke haitaji
gharama kubwa kukutambua kama mpenzi unayemjali; Ukitoka kazini pitia
hata Pochi ya 10,000/= tu, au kila baada ya mwezi nunua Chupi za
50,000/= tu ni silaha tosha kwa mkeo au mpenzio. Usisubiri mpaka vitu
hivyo vidogo vidogo avifanye mwanaume mwingine.....UMEKWISHA.

3. Outing, si lazima mwende Escape one, Double Tree, hata mkitoka nyumba
mkaenda uwanjani pamoja kuangalia mechi kati ya Yanga na Azam inatosha
kwa mwanamke, au mtoke nyumbani mwende kuangalia movies Mlimani city au
Quality center, inatosha kama utafanya walau mara moja kwa mwezi.

4. Mwambie amependeza, kwa kifupi mwanaume jifunze kumsifia
mkeo/mpenzio; hata mnavyofanya sex mwambie umejisikia raha na
umeridhika.

Kwa hayo hapo ni ngumu mwanamke kukusaliti/kutoka nje ya ndoa hata siku
moja.
Nini mwanaume anahitaji kufanyiwa:
1. Kubembelezwa kama mtoto, ashikwe shikwe ndefu, afanyiwe massage. si
lazima kila siku, ila angalau mara moja kwa week.

2. Mwanamke thamini kazi anazofanya mumeo, tambua akili yake huwa
inachoka kufikiria famili na majumu ya kazini; akifika nyumbani mkarimu
vizuri.

3. Ukiwa kitandani jitume, onyesha una-enjoy, la msingi msaidie katika
kukurahisishia wewe mwanamke kufika kileleni.
4. Kuwa msafi wewe mwanamke, msafi ndani mpaka nje! kama inawezekana oga
hata mara nne kwa siku; Hakikisha mwanamume wako hakutani na harufu
yoyote ile.

Kwa kufanya hayo hautamsikia mwanamume anatoka nje na kukusaliti.

Asanteni wandugu

5 mpe pole
6 muone mzuri kuliko wote
7.zawadi
8 etc
 
Ya leo imekaa vizuri.... umezungumzia kote kote mwanamke na mwanaume nini wafanye....
 
Back
Top Bottom