Mkuu,
Hii haihusu hesabu moja kwa moja, hii ni uhalisia tu na practices za Nyumbani. Kwani pipa, ndoo au tank si unalijua?
Basi iweke hii fumbo into real practice na ufanye ukokotozi
Nimeona watu wanakokotoa ndo maana nikajiweka kando na hata heading inasema wakali wa hesabu.
Binafsi jibu langu mimi bila kukokotoa hakuna pipa litakalojaa kwani maji yanaingia na kutoka kwa wakati mmoja hivyo hakuna kujaa hapo