Malisa GJ: Kufungwa kwa Mbarikiwa Mwakipesile kunaweza kutafsiriwa ni kutokana na kupinga mkataba wa bandari

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,115
Kuhusu Mbarikiwa Mwakipesile,

1. Amepinga vikali mkataba wa "kinyonyaji" wa bandari kupitia mahubiri yake. Kufungwa jela kunaweza kutafsiriwa ni kwa sababu ya kupinga mkataba huo kama ilivyokuwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude, Dr.Salaa etc.

2. Hoja ya kuendesha Kanisa ambalo halijasajiliwa ni mufilisi kwa sababu ameendesha kanisa hilo kwa miaka mitatu. Serikali ilikua wapi miaka yote wasimkamate, mpaka alipopinga mkataba wa bandari ndio wakashtuka Kanisa halijasajiliwa?

3. Mbarikiwa amewahi kuwaalika viongozi mbalimbali kushiriki ibada Kanisani kwake wakiwemo maDC, wabunge na viongozi wa taasisi za umma. Je wote hao hawakushtuka kuwa Kanisa halijasajiliwa?

4. Je asingepinga mkataba wa bandari serikali ingeendelea kumvumilia aendeshe kanisa lisilosajiliwa kama ilivyomvumilia kwa miaka mitatu?

5. Mwanae Sarah alitunga wimbo "Mnatuona Manyani" akikosoa vikali mkataba "wa kimangungo" wa bandari. Akakamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi. Je haya aliyofanyiwa baba, sio mwendelezo wa aliyofanyiwa mtoto?

6. Mwenendo wa kesi unatia mashaka. Hakimu ameendesha kesi kwa masaa mawili tu akamtia hatiani na kumtandika mvua ya miaka mitatu jela. Sijawahi kuona kesi ikiendeshwa kwa speed kiasi hiki.

7. Mbarikiwa alikua kwenye process za kusajili Kanisa lake na documents zipo serikalini. Kwa mujibu wa sheria, kama umeshaanza process huwezi kufungwa. Badala yake serikali inaweza kusimamisha huduma mpaka upate vibali ndio uendelee.

8. Suguye amewahi kufungiwa Kanisa lake kwa madai ya kutosajiliwa. Lakini hakukamatwa wala kushtakiwa. Badala yake alishughulikia vibali na alipokamilisha aliruhusiwa kuendelea na huduma. Sasa kwanini imekua tofauti kwa Mbarikiwa?

9. Mtu anayeanzisha Kanisa ana lengo la kupunguza maovu kwenye jamii na kuwafanya watu wamrudie Mungu wao. Mtu mwenye lengo zuri kama hili, unamfungaje jela kisa tu hajasajili? Kwanini usimsaidie aweze kupata vibali? Kanisa sio danguro hadi watu waogope kuanzisha.

10. Mama kwa unyeyekevu nakushauri punguza chawa. Wameanza kukupanda kichwani. Wanaumiza watu wakidhani wanakufurahisha. Kumbe wanakujengea chuki kwa jamii. Ukija kushtuka 2025 hii hapa. Utaomba maji kwa karai my friend.!
 
Wanatuona Manyani hawa.
IMG_20230930_055236.jpg
 
Waambieni hawa wachungaji, wawe waangalifu pindi mfuko wa sadaka unapokua na uzito kidogo.wajifunze kwa mwamposa na musa..huwezi kusikia wanahangaika kushindana hoja na serkali.
Unapoanzisha kanisa serkali inakuuliza unataka kibali cha kuendesha kanisa ni la kiroho au kibiashara. Hapa kwa wachungaji wanajibu biashara. Hivyo atakua analipa kodi nk.
Sasa hawa wakisha shiba na biashara zao za kanisani wanajisahau. Hili linaweza kua fundisho na kwawengine ili wasijisahau majukumu yao. Kutokana na kile walichokiomba.
 
Kuhusu Mbarikiwa Mwakipesile,

1. Amepinga vikali mkataba wa "kinyonyaji" wa bandari kupitia mahubiri yake. Kufungwa jela kunaweza kutafsiriwa ni kwa sababu ya kupinga mkataba huo kama ilivyokuwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude, Dr.Salaa etc.

2. Hoja ya kuendesha Kanisa ambalo halijasajiliwa ni mufilisi kwa sababu ameendesha kanisa hilo kwa miaka mitatu. Serikali ilikua wapi miaka yote wasimkamate, mpaka alipopinga mkataba wa bandari ndio wakashtuka Kanisa halijasajiliwa?

3. Mbarikiwa amewahi kuwaalika viongozi mbalimbali kushiriki ibada Kanisani kwake wakiwemo maDC, wabunge na viongozi wa taasisi za umma. Je wote hao hawakushtuka kuwa Kanisa halijasajiliwa?

4. Je asingepinga mkataba wa bandari serikali ingeendelea kumvumilia aendeshe kanisa lisilosajiliwa kama ilivyomvumilia kwa miaka mitatu?

5. Mwanae Sarah alitunga wimbo "Mnatuona Manyani" akikosoa vikali mkataba "wa kimangungo" wa bandari. Akakamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi. Je haya aliyofanyiwa baba, sio mwendelezo wa aliyofanyiwa mtoto?

6. Mwenendo wa kesi unatia mashaka. Hakimu ameendesha kesi kwa masaa mawili tu akamtia hatiani na kumtandika mvua ya miaka mitatu jela. Sijawahi kuona kesi ikiendeshwa kwa speed kiasi hiki.

7. Mbarikiwa alikua kwenye process za kusajili Kanisa lake na documents zipo serikalini. Kwa mujibu wa sheria, kama umeshaanza process huwezi kufungwa. Badala yake serikali inaweza kusimamisha huduma mpaka upate vibali ndio uendelee.

8. Suguye amewahi kufungiwa Kanisa lake kwa madai ya kutosajiliwa. Lakini hakukamatwa wala kushtakiwa. Badala yake alishughulikia vibali na alipokamilisha aliruhusiwa kuendelea na huduma. Sasa kwanini imekua tofauti kwa Mbarikiwa?

9. Mtu anayeanzisha Kanisa ana lengo la kupunguza maovu kwenye jamii na kuwafanya watu wamrudie Mungu wao. Mtu mwenye lengo zuri kama hili, unamfungaje jela kisa tu hajasajili? Kwanini usimsaidie aweze kupata vibali? Kanisa sio danguro hadi watu waogope kuanzisha.

10. Mama kwa unyeyekevu nakushauri punguza chawa. Wameanza kukupanda kichwani. Wanaumiza watu wakidhani wanakufurahisha. Kumbe wanakujengea chuki kwa jamii. Ukija kushtuka 2025 hii hapa. Utaomba maji kwa karai my friend.!
Wana mbeya wanasemaj? Wameandamana ?
 
Ni vyema watawala na watoa maamuzi wakatafakari hekima iliyopo nyuma ya vifungu vifuatavyo kutoka katika maandiko matakatifu.

MITHALI 14

28 Utukufu wa mfalme upo katika idadi kubwa ya watu wake, bali pasipo watu mfalme huangamia.

29 Mtu mvumilivu anaufahamu ukubwa, bali mtu mwepesi uhamaki na hukuza upuuzi.

30 Moyo wenye raha ni uzima wa mwili, bali husuda huozesha mifupa.

31 Anayemkandamiza masikini humlaani Muumba wake, bali anayeonyesha fadhila kwa wahitaji humtukuza yeye.

32 Mtu mwovu huangushwa chini kwa matendo yake mabaya, bali mtu mwenye haki anakimbilio hata katika kifo.

33 Hekima hukaa katika moyo wa ufahamu, bali hata miongoni mwa wapumbavu hujiachilia mwenyewe kwa kujulikana

34 Kutenda haki huliinua taifa, bali dhambi ni chukizo kwa watu wote.
 
Kuhusu Mbarikiwa Mwakipesile,

1. Amepinga vikali mkataba wa "kinyonyaji" wa bandari kupitia mahubiri yake. Kufungwa jela kunaweza kutafsiriwa ni kwa sababu ya kupinga mkataba huo kama ilivyokuwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude, Dr.Salaa etc.

2. Hoja ya kuendesha Kanisa ambalo halijasajiliwa ni mufilisi kwa sababu ameendesha kanisa hilo kwa miaka mitatu. Serikali ilikua wapi miaka yote wasimkamate, mpaka alipopinga mkataba wa bandari ndio wakashtuka Kanisa halijasajiliwa?

3. Mbarikiwa amewahi kuwaalika viongozi mbalimbali kushiriki ibada Kanisani kwake wakiwemo maDC, wabunge na viongozi wa taasisi za umma. Je wote hao hawakushtuka kuwa Kanisa halijasajiliwa?

4. Je asingepinga mkataba wa bandari serikali ingeendelea kumvumilia aendeshe kanisa lisilosajiliwa kama ilivyomvumilia kwa miaka mitatu?

5. Mwanae Sarah alitunga wimbo "Mnatuona Manyani" akikosoa vikali mkataba "wa kimangungo" wa bandari. Akakamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi. Je haya aliyofanyiwa baba, sio mwendelezo wa aliyofanyiwa mtoto?

6. Mwenendo wa kesi unatia mashaka. Hakimu ameendesha kesi kwa masaa mawili tu akamtia hatiani na kumtandika mvua ya miaka mitatu jela. Sijawahi kuona kesi ikiendeshwa kwa speed kiasi hiki.

7. Mbarikiwa alikua kwenye process za kusajili Kanisa lake na documents zipo serikalini. Kwa mujibu wa sheria, kama umeshaanza process huwezi kufungwa. Badala yake serikali inaweza kusimamisha huduma mpaka upate vibali ndio uendelee.

8. Suguye amewahi kufungiwa Kanisa lake kwa madai ya kutosajiliwa. Lakini hakukamatwa wala kushtakiwa. Badala yake alishughulikia vibali na alipokamilisha aliruhusiwa kuendelea na huduma. Sasa kwanini imekua tofauti kwa Mbarikiwa?

9. Mtu anayeanzisha Kanisa ana lengo la kupunguza maovu kwenye jamii na kuwafanya watu wamrudie Mungu wao. Mtu mwenye lengo zuri kama hili, unamfungaje jela kisa tu hajasajili? Kwanini usimsaidie aweze kupata vibali? Kanisa sio danguro hadi watu waogope kuanzisha.

10. Mama kwa unyeyekevu nakushauri punguza chawa. Wameanza kukupanda kichwani. Wanaumiza watu wakidhani wanakufurahisha. Kumbe wanakujengea chuki kwa jamii. Ukija kushtuka 2025 hii hapa. Utaomba maji kwa karai my friend.!
 

Attachments

  • D3D45F25-ED9C-4DDD-A625-CF314DAA67BA.jpeg
    D3D45F25-ED9C-4DDD-A625-CF314DAA67BA.jpeg
    31.4 KB · Views: 3
Waambieni hawa wachungaji, wawe waangalifu pindi mfuko wa sadaka unapokua na uzito kidogo.wajifunze kwa mwamposa na musa..huwezi kusikia wanahangaika kushindana hoja na serkali.
Unapoanzisha kanisa serkali inakuuliza unataka kibali cha kuendesha kanisa ni la kiroho au kibiashara. Hapa kwa wachungaji wanajibu biashara. Hivyo atakua analipa kodi nk.
Sasa hawa wakisha shiba na biashara zao za kanisani wanajisahau. Hili linaweza kua fundisho na kwawengine ili wasijisahau majukumu yao. Kutokana na kile walichokiomba.
Mwamposa anaendesha kanisa la kiroho au kibiashara?
 
Waambieni hawa wachungaji, wawe waangalifu pindi mfuko wa sadaka unapokua na uzito kidogo.wajifunze kwa mwamposa na musa..huwezi kusikia wanahangaika kushindana hoja na serkali.
Unapoanzisha kanisa serkali inakuuliza unataka kibali cha kuendesha kanisa ni la kiroho au kibiashara. Hapa kwa wachungaji wanajibu biashara. Hivyo atakua analipa kodi nk.
Sasa hawa wakisha shiba na biashara zao za kanisani wanajisahau. Hili linaweza kua fundisho na kwawengine ili wasijisahau majukumu yao. Kutokana na kile walichokiomba.
La Kuhani Mussa ni la Kiroho?😆😆😆
 
Waambieni hawa wachungaji, wawe waangalifu pindi mfuko wa sadaka unapokua na uzito kidogo.wajifunze kwa mwamposa na musa..huwezi kusikia wanahangaika kushindana hoja na serkali.
Unapoanzisha kanisa serkali inakuuliza unataka kibali cha kuendesha kanisa ni la kiroho au kibiashara. Hapa kwa wachungaji wanajibu biashara. Hivyo atakua analipa kodi nk.
Sasa hawa wakisha shiba na biashara zao za kanisani wanajisahau. Hili linaweza kua fundisho na kwawengine ili wasijisahau majukumu yao. Kutokana na kile walichokiomba.
Umefanya haraka kujibu, soma tena uelewe kisha jibu.
 
Mwamposa anaendesha kanisa la kiroho au kibiashara?
Kanisa la kiroho ni roma katoliki na bakwata tu. Na ndio maana hawa unaona wananguvu kwenye kauli zao.na wanaofa nyingi, hawalipi kodi ila wanatoa saana misaada.
Na hata kwenye vifaa vyao wanavyoagiza kutoka nje sizani kama vinakatwa kodi. Na mtu iwe padri au shekh akitaka kutoka kwenye utumishi ili aingie kwenye siasa lazima ajitoe kwanza huko. Ila kwa hawa wengine kama kina gwajima ndio maana unaona wabunge huku anazunguuka kutafuta waumini..kwakua serikali anaiingizia kipato kikubwa kwenye biashara yake wanamuacha..ila sasa ukianza kutaka kuisumbua serkali kwa kushiba sadaka basi itabidi ukumbushwe tu.hakuna namna.

Wewe jikumbushe tu yaliowakuts kina kakobe, mwingila walipata misukosuko gani kwenye makanisa yao baada kutaka kuchezea serikali ndio utaelewa.
 
La Kuhani Mussa ni la Kiroho?😆😆😆
Wameacha makanisa ya watoa kafara kina mwamposa, suguye, na waabudu mashetani mengi tu kwanini wasiyafungie hayo?. Eti kanisa linahubiri watu wapeleke kucha na nywele huo si ushirikina kabisa. It's time now kwa kanisa la kweli kushinda dhidi ya kila giza.
 
Kuhusu Mbarikiwa Mwakipesile,

1. Amepinga vikali mkataba wa "kinyonyaji" wa bandari kupitia mahubiri yake. Kufungwa jela kunaweza kutafsiriwa ni kwa sababu ya kupinga mkataba huo kama ilivyokuwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude, Dr.Salaa etc.

2. Hoja ya kuendesha Kanisa ambalo halijasajiliwa ni mufilisi kwa sababu ameendesha kanisa hilo kwa miaka mitatu. Serikali ilikua wapi miaka yote wasimkamate, mpaka alipopinga mkataba wa bandari ndio wakashtuka Kanisa halijasajiliwa?

3. Mbarikiwa amewahi kuwaalika viongozi mbalimbali kushiriki ibada Kanisani kwake wakiwemo maDC, wabunge na viongozi wa taasisi za umma. Je wote hao hawakushtuka kuwa Kanisa halijasajiliwa?

4. Je asingepinga mkataba wa bandari serikali ingeendelea kumvumilia aendeshe kanisa lisilosajiliwa kama ilivyomvumilia kwa miaka mitatu?

5. Mwanae Sarah alitunga wimbo "Mnatuona Manyani" akikosoa vikali mkataba "wa kimangungo" wa bandari. Akakamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi. Je haya aliyofanyiwa baba, sio mwendelezo wa aliyofanyiwa mtoto?

6. Mwenendo wa kesi unatia mashaka. Hakimu ameendesha kesi kwa masaa mawili tu akamtia hatiani na kumtandika mvua ya miaka mitatu jela. Sijawahi kuona kesi ikiendeshwa kwa speed kiasi hiki.

7. Mbarikiwa alikua kwenye process za kusajili Kanisa lake na documents zipo serikalini. Kwa mujibu wa sheria, kama umeshaanza process huwezi kufungwa. Badala yake serikali inaweza kusimamisha huduma mpaka upate vibali ndio uendelee.

8. Suguye amewahi kufungiwa Kanisa lake kwa madai ya kutosajiliwa. Lakini hakukamatwa wala kushtakiwa. Badala yake alishughulikia vibali na alipokamilisha aliruhusiwa kuendelea na huduma. Sasa kwanini imekua tofauti kwa Mbarikiwa?

9. Mtu anayeanzisha Kanisa ana lengo la kupunguza maovu kwenye jamii na kuwafanya watu wamrudie Mungu wao. Mtu mwenye lengo zuri kama hili, unamfungaje jela kisa tu hajasajili? Kwanini usimsaidie aweze kupata vibali? Kanisa sio danguro hadi watu waogope kuanzisha.

10. Mama kwa unyeyekevu nakushauri punguza chawa. Wameanza kukupanda kichwani. Wanaumiza watu wakidhani wanakufurahisha. Kumbe wanakujengea chuki kwa jamii. Ukija kushtuka 2025 hii hapa. Utaomba maji kwa karai my friend.!
Kwa jicho la kiroho nauona mwisho mchungu sana wa mama Abdul
 
Back
Top Bottom