Kwa wale wa Mount Meru University(MMU)

Ukwel mtupu

Member
Jan 30, 2014
40
8
Wakuu ninatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu na ninapendelea kusoma katika chuo hiki kampasi ya mwanza kwa koz ya BBA lakin nilikuwa nataka nijie kuhusiana na ubora wa elimu inayotolewa katika chuo hiki pia idadi ya masomo kwa semister moja ili niweze kufanya chaguo sahihi.
Naombeni kwa wanaojua wanifahamishe wakuu!!!
 
Wakuu ninatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu na ninapendelea kusoma katika chuo hiki kampasi ya mwanza kwa koz ya BBA lakin nilikuwa nataka nijie kuhusiana na ubora wa elimu inayotolewa katika chuo hiki pia idadi ya masomo kwa semister moja ili niweze kufanya chaguo sahihi.
Naombeni kwa wanaojua wanifahamishe wakuu!!!
"nijie"
nahisi ulitaka kuandika "nijue"...ila kibongobongo tu ujumbe ushafika so subiri wanakuja
 
daaaa!...me napita tu jaman...Mawazo yangu yote yanawaza UDSM tu...ebu ngoja nikaze but coz bado mwez hiv.
 
Back
Top Bottom