Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,063
jamani kwa wale wenzangu na mimi mnaosubiria ajira za jeshi,nimepigiwa simu niende makao makuu ya wizara ya ulinzi kuwa nimechaguliwa kujiunga na jeshi kambi ya kigoma na niandikapo thread hii najaza fomu yao...kiufupi nlifanyiwa mchongo manake bila m2 Tz hii kazi bure...nawasilisha tu jamani sina uhakika kama post zimeshatoka tayari..kwa anaetaka maelezo zaidi pls ni PM