Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Kila mtu huwa ana imani yake
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko