Kwa wale tulioomba kazi TRA

Kwa wale tulioomba kazi TRA

Wale wataofanya Usaili tar 5 kada mbalimbali Kuna watu washaanza kuingia kule maeneo tupeane updates chimbo za kufikia ambazo ni kitonga😁
 
Acha aseme tu kile moyo inapenda inaweza ikawa Suluhu la kupoza maumivu... Obviously inaumiza kama umeshindwa kuitwa kwa sababu zisizo eleweka
Wa Tanzania tunatabia ya kujifanya wajuaji kinachotuponza hata mdogo wangu kakosa kuitwa sababu hyo umeambiwa vyeti lazima u verify ww unaweka vyeti original kwa kudhani umekwepa kigezo cha kuverify hv kwenye e-mail unaweza kufahamu cheti fake kwa kuangalia picha?zile alama za mng'ao zote hazing'ai km cheti kinapicha iliyojificha kwenye picha hutoiona hila uki verify wanajirizisha kuwa lawyer uliyempelekea amakagua hvyo vyeti.
 
Kila nikiapply kazi naambiwa sijakualify anaeweza kunisaidia please
 
Habari za mchana wapendwa, kwa wale tuliiomba kazi TRA. Kupitia utumishi tumejibiwa ila hakuna mkeka wowote uliotoka kama tulivyozoea, unaingia kwenye portal unalogin utapata majibu yako kwenye "my application".

Cha kushangaza sana wametoa sababu tofauti tofauti kwa kila mmoja kutokukidhi, au kuwa shortlisted for the interview, vipi nyie wenzangu mmefanikiwa????
Mkeka umetoka mbona. Sema walichelewa kuweka tu kwa page yao
 
Mbn mnajidanganya jmn hakuna mambo ya kucertify kwa waliosoma bongo ukiona imekuandikia hvyo haujausoma nje ya nchi jua n makosa ya system wapigie ajira portal wenyewe kwa maelezo zaidi
Hivi ni lazima uhakiki kwa mwanasheria? Au hata mahakamani ni sawa tu?
 
Mbn mnajidanganya jmn hakuna mambo ya kucertify kwa waliosoma bongo ukiona imekuandikia hvyo haujausoma nje ya nchi jua n makosa ya system wapigie ajira portal wenyewe kwa maelezo zaidi
Uliza uambiwe na wenzako huko
 
Nmekuwa shortlisted x2 Bila ku certify wapigie ajira portal km unachangamoto hyo.. Ww unanambia hbr za kuwauliza wenzangu wkt hao wenzangu wapo dodoma leo bila ku certify
Uliza uambiwe na wenzako huko
 
Mbn mnajidanganya jmn hakuna mambo ya kucertify kwa waliosoma bongo ukiona imekuandikia hvyo haujausoma nje ya nchi jua n makosa ya system wapigie ajira portal wenyewe kwa maelezo zaidi
Wamekubeba tu mkuu
 
Hongereni mlioitwa.....
poleni mliokosa sometimes when you win you loose and when you loose you win
 
Wamekubeba tu mkuu
Sio kubebwa, watu wanaoachwa kwa7bu hyo nadhan ni bahati mbaya tu.. Ila nimewakna wengi wameenda Usaili ya TRA hii wakiwa wameweka vyeti vyao kutoka chuo OG
 
Sio kubebwa, watu wanaoachwa kwa7bu hyo nadhan ni bahati mbaya tu.. Ila nimewakna wengi wameenda Usaili ya TRA hii wakiwa wameweka vyeti vyao kutoka chuo OG
Safi sana, tna cheti OG kikiwa na rangi na muonekano Co black and white
 
Back
Top Bottom