Call m3 Anwar
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 290
- 509
Boss, hiyo bahati labda, au inategemea mtu na mtu, kuna watu niliwasaidia kufungua na vyeti tukaweka vile OG, scanned na mashine kabisa sio kwa kutumia simu. Interview za mwanzo ilikuwa inakubal fresh ila kufikia mwez wa 12 mwaka jana kwenye job ya osha mambo ndo yakabadilikaSafi sana, tna cheti OG kikiwa na rangi na muonekano Co black and white