kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,501
- 4,282
Custom ni tarehe 6 BablaiNimeitwa kwenye kada ya Custom tarehe 7 nakula msuri hapa Kama sitakula Tena...
Custom ni tarehe 6 BablaiNimeitwa kwenye kada ya Custom tarehe 7 nakula msuri hapa Kama sitakula Tena...
Hivi ni lazima uhakiki kwa mwanasheria? Au hata mahakamani ni sawa tu?Mimi nilimsaidia mtu kufanya application na nilihakikisha mimi mwenyewe kuwa nimecertify kwa wakili copies zote na nikaaply mimi mwenyewe eti leo inaonesha kuwa hakucertify vyeti. Nadhani kuna kitu hakipo sawa
Custom ni tarehe 6 Bablai
Mkuu nipe areas of concentrationNimeitwa kwenye kada ya Custom tarehe 7 nakula msuri hapa Kama sitakula Tena...
Sawa mkuuItakuwa ni custom assistant uyo... .. tax management assistant na custom assistant tunafanya tarehe 7
PRO ndio kada ganiPRO tujuane
Usaili unafanya lini kijana. ?Pro nipo hapa
Kaka tunasoma nnPro nipo hapa
Vipi mkuu wamekukata!Huu utumishi/ Portal ajira wasenge sana, ma.mae zao, ifutwe tuu, wameweka matumbo yao huko wanachukua mishahara ya bure tuu, fala sana, wanatumia vigezo vya kipumbavu wakati mwisho wa siku kila mtu anaenda na origina certificates.
Istoshe hizo ajira ni haki ya watanzania wote, wanaleta vigezo vya kipuuzi utazani nchi ya mama yao hii, na watakufa wataiacha Tanzania, kumamake zao.
Kuna dawati lao la malalamiko kawatukane huko. Huku unamtukana nani sasa. Punguza jazba kijana.Hao utumishi/ Portal ajira wasenge sana, ma.mae zao, ifutwe tuu, wameweka matumbo yao huko wanachukua mishahara ya bure tuu, fala sana, wanatumia vigezo vya kipumbavu wakati mwisho wa siku kila mtu anaenda na original certificates.
Istoshe hizo ajira ni haki ya watanzania wote, wanaleta vigezo vya kipuuzi utazani nchi ya mama yao hii, na watakufa wataiacha Tanzania, kumamake zao.
Kuanzia sh ngapiMsaada guest house ya bei rahisi dodoma
bei ndogo ambayo mtu unaweza kuimudu kuanzia 20000 mwisho 35000Kuanzia sh ngapi
Zipo nyingi tu.. unataka maeneo gani??bei ndogo ambayo mtu unaweza kuimudu kuanzia 20000 mwisho 35000