monnie tonny
Member
- Aug 9, 2021
- 8
- 10
Habari za mchana wapendwa, kwa wale tuliiomba kazi TRA. Kupitia utumishi tumejibiwa ila hakuna mkeka wowote uliotoka kama tulivyozoea, unaingia kwenye portal unalogin utapata majibu yako kwenye "my application".
Cha kushangaza sana wametoa sababu tofauti tofauti kwa kila mmoja kutokukidhi, au kuwa shortlisted for the interview, vipi nyie wenzangu mmefanikiwa????
Cha kushangaza sana wametoa sababu tofauti tofauti kwa kila mmoja kutokukidhi, au kuwa shortlisted for the interview, vipi nyie wenzangu mmefanikiwa????